CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Hizi data za Mukama zinatokea wapi, watu 50000 per day!!
Imagine......utahitaji uwanja kama EMIRATES kuwafungia watu hawa uliowakamata........halafu utahitaji polisi kama 100,000 kuwakamata...weird statistics