CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Ripoti ya Mukama kwemda kwa JK inautaja mtandao wa Jamii forum kuwa unaundwa na vijana kutoka CHADEMA.
Ripoti hiyo iliondaliwa na Wilson Mukama pamoja na Prof. Eginald Mihanjo wa St.Jones University -Dodoma.
Kwa mujibu wa Brela, JF inamilikiwa na Jamii Media Company namba. 66333.
Wanaomiliki wakiwa ni:
Steve Diallo (ndugu wa Anthony Diallo) hisa 40, Maxence Melo hisa 250, Mike Mushi hisa 250, Dickson Charles hisa 40, Lameck Mussa hisa 40, Mbaraka Islam (mwandishi wa habari) hisa 100 na William Malecela hisa 40, huyu ni mtoto wa John Malecela anayeishi washington -Marekan.
Ripoti ya mukama ndiyo inayotumiwa na JK kuwafukuza mafisadi El, RA na AC.
Source:
Mwananahalisi April 27. 2011
Ripoti hiyo iliondaliwa na Wilson Mukama pamoja na Prof. Eginald Mihanjo wa St.Jones University -Dodoma.
Kwa mujibu wa Brela, JF inamilikiwa na Jamii Media Company namba. 66333.
Wanaomiliki wakiwa ni:
Steve Diallo (ndugu wa Anthony Diallo) hisa 40, Maxence Melo hisa 250, Mike Mushi hisa 250, Dickson Charles hisa 40, Lameck Mussa hisa 40, Mbaraka Islam (mwandishi wa habari) hisa 100 na William Malecela hisa 40, huyu ni mtoto wa John Malecela anayeishi washington -Marekan.
Ripoti ya mukama ndiyo inayotumiwa na JK kuwafukuza mafisadi El, RA na AC.
Source:
Mwananahalisi April 27. 2011