Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
habari imeripotiwa hivyo, hawajaonesha jins alivyozomea. Kama ni uzush bas aliyeripoti hiyo habari ndiye mzushi
Mtangazaji ndie alisema palikuwapo na hali ya zomea zomea na ndio sababu ya kukatishwa kwa mkutano huo msiubadili ukweli kuwa uongo ama uzushi.Go to hell ccm