kweli kabisa
ili ni jukwaa la siasa baada ya kutuuliza nani anaweza ziba pengo la mizengo we unatwambia kanumba! who is kanumba katika jukwaa la siasa? tujaribu kuwa makini sana kuna mambo mengi ya kujadili kwenye nchi yetu!
Mimi pia ni nafaa
Lulu!!
Naogopa kusema nani hamtanielewa!