Muigizaji Joti wa Ze Komedi apata ajali

Habari zilizotangazwa leo asubuhi na shirika la utangazaji TBC one na za uhakika zinasema Muigizaji Joti amepata ajali kwa kugongwa na gari la Ubalozi wa Ubeligiji ,Kavunjika shingo na yuko Hospital ya Moi pale Muhimbili ,More info please mnaweza kutuletea
Firstlady1,

Nimeongea na Mac Regan a.k.a Babu kwa njia ya simu ameniambia anaendelea vizuri na matibabu pale MOI. Shingo ndio imedhurika zaidi pamoja na Bega
 
thx zo simjui,pole Mungu atamsaidia
n7103698221_9532.jpg


Watatu kutoka kushoto
 
kwanti mamushka therengetitherengeti humjui yule muasisi wa mwendo na miondoko ulioleta tafrani hadi watoto watano wakafukuzwa shule kule kigoma kwa kuiga mwendo wake?

Sema yule aliyeiga miondoko kutoka Tom & Jerry, yeye sio muasisi wa miondoko ile!
 
Ni muda muafaka kwa kundi hilo kuwa na mikakati ya usalama katika kazi zao. Namaanisha safety awareness wanapokuwa wanafanya kazi zao. Wazingatie usalama kabla na wakati wanafanya kazi zao maana wanaweza kuwa exposed to many safety issues.
 
atakuwa "jini manyonya" nini?
maana kwa ajali hiyo vijiweni kutakuwa hapashikiki na hiyo story itazidi kupata umaarufu na ukweli wa kuwepo huyo jini hapo salenda briji utakuwa proved na ajali ya joti

kaazi kwelikweli
 
hahahah maimai au na yeye kakumbwa na yule ombaomba,ohooo wamekasirika wenyewe sasa. pole joti weee. usirudie tena kuwaiga Mkono wa Manyoya.
 
Wakati fulani nilikuwa shabiki wake...lakini alipoaanza mambo ya utovu wa nidhamu kwa dada na watoto wetu wa kike kwa kisingizio cha kuigiza niacha kabisa hata kumwangalia...namtakia apone haraka.
 
Pole sana Joti, ndio gharama ya uselebriti, kila mahala utajadiliwa. Kuna kipindi iliwahi kuwekwa habari humu kwamba mmoja wao aliliwa tiGO na vijana wa mjini. Sijui ilikuwa kuwachafua au ndo kweli.
 
Pole sana kijana wa origino comedi,

Hiyo ni ajali kazini,wewe ni shujaa

Ulikuwa katika harakati za kutaka kufurahisha umma pamoja na washabiki wako,

We wish you quick recovery

Asante
Elisante Yona
 
Back
Top Bottom