Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,683
- 8,829
UFISADI TRAINING COLLEGE; Inakutangazia kozi zifuatazo; 1. Wizi wa kura. 2.Utumiaji wa vyeti feki. 3.Kulipa mishahara hewa. 4. Kuanzisha Makampuni hewa.
5. Kuiba misaada ya waathirika. Chuo kitakupeleka Field EPA, BOT, TRA na badaae utaajiriwa RICHMOND au DOWANS. Chuo kimekwishatoa wahitimu kama, LOWASA, KARAMAGI, MRAMBA, ROSTAM na CHENGE.Fomu zinapatikana IKULU,BOT na OFISI ZOTE ZA CCM.wahi sasa nafasi ni chache
5. Kuiba misaada ya waathirika. Chuo kitakupeleka Field EPA, BOT, TRA na badaae utaajiriwa RICHMOND au DOWANS. Chuo kimekwishatoa wahitimu kama, LOWASA, KARAMAGI, MRAMBA, ROSTAM na CHENGE.Fomu zinapatikana IKULU,BOT na OFISI ZOTE ZA CCM.wahi sasa nafasi ni chache