Mugongo Mugongo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2006
- 223
- 8
Na picha za BBC zaonyesha mchana au sio..na JK ndiye alifungua hizo sherehe!
Sasa wewe umesema mchana alikuwa huko Serengeti sijui akifungua kituo gani cha umeme, mara yuko Dar umepishana na msafara wake. Wewe tena umekuwepo wakati msafara ukienda kwa marehemu!... mkali sana kwa data mjomba nakuheshimu itabidi nianze kupitia kwako kila mara, maanake source ni wewe mwenyewe hudanganywi na mtu.
Poa vile vile! mshindi wewe!
Yes, timeline yangu iko consistent. JK alitua Serengeti akitokea Tanga late afternoon, June 26, akafungua mradi wa umeme Serengeti asubuhi ya June 27, akapata lunch Mugumu baada ya kufungua mradi wa umeme, then aka-fly Dar. Mitaa ya kumi, anatoka airport kwenda State House, tunasimamishwa Mandela Rd. Kumi na mbili unusu anaingia Kempenski kufanya shughuli ya BBC. Baada ya hapo, kwenye saa mbili usiku, anaelekea Mikocheni kwa Mzee Chifupa...mie nakata Ndovu baridi kwenye patio ya Milennium Towers. Kubali kaka.