Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Nakuelewa, ila ukiangalia kwa makini mijadala ya namna hiyo huwa ni ile ya kutafuta ushindi, yaani kati ya upande huu na upande ule ni upi umeshinda. Kwenye jamvi hapa hatujagawanyika makundi mawili kwa hiyo upambanaji wa personality siyo wa muhimu kabisa.

Halafu kumbe huwa unawaangalia jamaa hao? FOXNews na mimi mbalimbali kabisa, hasa huyu Bill O'Reilly.

Mimi niko open minded babu. Nawaangaliaga na kuwasikiliza wote kwenye radio talk shows zao ili nijue wanasema nini. Sipendi kusikia upande mmoja tu. Ila kwa vile nawaangaliaga haina maana nakuabaliana nao katika kila kitu.

So ina maana huwezi ukakubaliana na O'Reilly hata kama anachokisema kina make sense kwa vile tu you can't stand him?
 
Just like many of conservative talk hosts,O'Reilly anajifanya ndio mwenye mamlaka kwenye ishu za morality.Jana usiku amemkalia kooni jamaa flani ambaye in my opinion anafanya kazi nzuri dhidi ya sex predators.Kwa Bill,kwa vile huyo jamaa anafanya what he calls predator sting then anaipeleka CBS,then ni MAKOSA.May be ingekuwa sahihi kama angepeleka programs zake FOXNEWS.

O'Reilly is just a male version of Ann Coulter!Only time I seemed to agree with him ni alipo-support,regardless of his conservative reservations,kuhusu immigration reforms.At one time he called George Soros the most dangerous man on the earth.Wht could be said of Osam,then?Kosa la Soros,just like any other person,ni kuwa liberal.
 
Ha ha ha! Hatred. Hatred. Hatred. Brother, take it easy. This is just a forum. I am sorry you are frustrated by my way of discussing mpaka umejipa u-Dr. Phil. Ha ha ha!
Mkubwa, one thing you can be sure: nitaendelea na mawe tu - hata kama unaniombea kifo.

Damn ur so good kwa kazi yako. Yaani ni mimi sasa mwenye chuki na sio wewe unayedhani kila anayepingana nawe ni mfuasi wa mbowe.

Ushauri wangu ni kuwa jitahidi na wewe siku moja utazidisha umuhimu wako kwa jamii zaidi ya hao unaowaonea wivu but ofcourse ur not late to overcome hayo matatizo unayopambana ya kisaikolojia unayopambana nayo.

Wengi wamepita huko na wakatoka washindi baada ya kukumbatia mapenzi na kuacha chuki kwa mafanikio ya wengine hata kama siyo ya kweli...

Tanzanianjema
 
Anaowaonea WIVU............. NILIWAHI KUMWAMBIA MTU MMOJA HUMU NIKASHAMBULIWA SANA NA ISSUE YA MABOKSI..
 
Kakalende,
Wala usiwe na taabu kabisa kwani hapa nyumba ya ubishi kama ilivyosema!.....sina taabu lakini moja tu usije na story za kuwahukumu watu ambao hawana hatia kwa makusudio ya kuficha ukweli.
Haikuwa lengo langu kujadili mtu yeyote humu na hata siku moja siwezi kuanza kukujadili wewe hali sikufahamu. Ukitazama kwa makini mashambulizi ya personal yametoka upande mmoja!.. mimi husubiri tu with my Ace card!

Kitu kikubwa nachopinga mimi ni hii mikwara ya kutaka watu wasizungumze kitu kuhusu hawa mafisadi wakubwa wanao endesha nchi yetu kwa mitulinga. Kazi zao kutwa ni kutumia watu na kutuma PM kwa watu kutishia tuuuu!... Nina hakika Mwanakijiji kisha fuatwa sana mbali na hoja za humu kupinga kila analojaribu kufanya. Na sasa kujipumzisha kwake nina mashaka nako vile vile!
Nia na madhumuni yao ni kuzuia watu to speak up their mind! na bahati mbaya wapo watu wanaokubali kununuliwa.
Mjomba hakuna price tag kwa Mkandara!...na ndio maana kamili ya neno Babu Ubishi! sikubali kuona watu wakidhulumiwa haki zao hata siku moja na nafuata mtazamo wangu mwenyewe ktk swala na sio CCM, Kiongozi fulani wala babu yake - Hii ni forum huru!

Huyu mwandishi Rweyemamu kaniboa na kanitibua sana kuweka tungo zake hapa kwa sababu wakati data zake zote tunazijua vizuri. Na kama nasema uongo ajitokeze humu kama walivyofanya waandishi wengine!
 
Kakalende,
Wala usiwe na taabu kabisa kwani hapa nyumba ya ubishi kama ilivyosema!.....sina taabu lakini moja tu usije na story za kuwahukumu watu ambao hawana hatia kwa makusudio ya kuficha ukweli.
Haikuwa lengo langu kujadili mtu yeyote humu na hata siku moja siwezi kuanza kukujadili wewe hali sikufahamu. Ukitazama kwa makini mashambulizi ya personal yametoka upande mmoja!.. mimi husubiri tu with my Ace card!

Kitu kikubwa nachopinga mimi ni hii mikwara ya kutaka watu wasizungumze kitu kuhusu hawa mafisadi wakubwa wanao endesha nchi yetu kwa mitulinga. Kazi zao kutwa ni kutumia watu na kutuma PM kwa watu kutishia tuuuu!... Nina hakika Mwanakijiji kisha fuatwa sana mbali na hoja za humu kupinga kila analojaribu kufanya. Na sasa kujipumzisha kwake nina mashaka nako vile vile!
Nia na madhumuni yao ni kuzuia watu to speak up their mind! na bahati mbaya wapo watu wanaokubali kununuliwa.
Mjomba hakuna price tag kwa Mkandara!...na ndio maana kamili ya neno Babu Ubishi! sikubali kuona watu wakidhulumiwa haki zao hata siku moja na nafuata mtazamo wangu mwenyewe ktk swala na sio CCM, Kiongozi fulani wala babu yake - Hii ni forum huru!

Huyu mwandishi Rweyemamu kaniboa na kanitibua sana kuweka tungo zake hapa kwa sababu wakati data zake zote tunazijua vizuri. Na kama nasema uongo ajitokeze humu kama walivyofanya waandishi wengine!

Mkandara,

Longolongo na maneno marefu pembeni. Leta source yako, inayothibitisha kwamba Rais alienda kumuona Amina mchana wa siku aliyokufa, kama ulivyoahidi. Kama huwezi, basi leta facts za ku-dispute "timeline" niliyoitoa ya Rais kuanzia 25 June hadi 27 June.

It is important to sort this out kwasababu ulisema with certainty kwamba Rais more or less alienda kumuaga Amina mchana wa siku aliyokufa kwasababu he knew what would happen jioni yake.

My beef ni kwamba ni lazime ifike mahala tukaheshimiana hapa JF kwa kuleteana taarifa za ukweli, hasa pale tunapo-accuse watu. Mwenzako Mzee Mwanakijiji kawa muungwana na ka-withdraw statement yake ya kwamba Mwandosya alikataza ujenzi Serengeti. Na vilevile ameng'amua kwamba katudanganya aliposema Nchimbi na Kayombo wanagombea nafasi moja ya NEC kule Ruvuma. Na wewe mkubwa ng'amua kwamba umeleta JF habari isiyo ya kweli kwasababu Rais hakuwa Dar siku Amina aliyokufa. Period.
 
MugongoMugongo,

Amini usiamini haiwezi kubadilisha kitu wala maelezo yako wewe hayawezi kubadilisha ukweli kuwa alikwenda na pia kwenda kwake hakuna uhusiano wowote na issue ya Rweyemamu.
Nimekuomba source umesema ulikuwepo wewe hali najua hukuwepo ktk msafara huo. Maneno yako mwenyewe yanajigonga ovyo! Na kama huyo mpiga picha wa rais ndio umezungumza nae kwa simu tufanye 3 way sasa hivi! source yako ikiwa kwa salamu za sina haja nazo, niko juu ya hadhi hiyo.
Wewe huna ushahidi zaidi ya kusoma magazeti ambao hawafahamu kabisa misafara ya rais zaidi ya pale walipoalikwa.
Sina tatizo na beef lako. Wee tuendelee tu ndio starehe ya JF, kwa sababu beef lako naliweza, bring it on brother! utawatisha hao hao sio mimi!
 
Mkandara,

Longolongo na maneno marefu pembeni. Leta source yako, inayothibitisha kwamba Rais alienda kumuona Amina mchana wa siku aliyokufa, kama ulivyoahidi. Kama huwezi, basi leta facts za ku-dispute "timeline" niliyoitoa ya Rais kuanzia 25 June hadi 27 June.

It is important to sort this out kwasababu ulisema with certainty kwamba Rais more or less alienda kumuaga Amina mchana wa siku aliyokufa kwasababu he knew what would happen jioni yake.

My beef ni kwamba ni lazime ifike mahala tukaheshimiana hapa JF kwa kuleteana taarifa za ukweli, hasa pale tunapo-accuse watu. Mwenzako Mzee Mwanakijiji kawa muungwana na ka-withdraw statement yake ya kwamba Mwandosya alikataza ujenzi Serengeti. Na vilevile ameng'amua kwamba katudanganya aliposema Nchimbi na Kayombo wanagombea nafasi moja ya NEC kule Ruvuma. Na wewe mkubwa ng'amua kwamba umeleta JF habari isiyo ya kweli kwasababu Rais hakuwa Dar siku Amina aliyokufa. Period.

Kwa kifupi "Babu ubishi" kachemsha! hiyo source anayodai kuwa nayo HANA na ndio maana hawezi kuiweka hapa.

Mugongo*2 Kama unasubiri "source" basi utasubiri SANA! all the best.
 
MugongoMugongo,

Amini usiamini haiwezi kubadilisha kitu wala maelezo yako wewe hayawezi kubadilisha ukweli kuwa alikwenda na pia kwenda kwake hakuna uhusiano wowote na issue ya Rweyemamu.

Nimekuomba source umesema ulikuwepo wewe hali najua hukuwepo hata kidogo ktk msafara huo. Na kama huyo mpoiga picha wa rais ndio umezungumza nane kwa simu tufanye 3 way sasa hivi! source yako ikiwa kwa salamu sina haja...

Wewe huna ushahidi zaidi ya kusoma magazeti ambao hawafahamu kabisa misafara ya rais zaidi ya kuwa wamealikwa.
Sinatatizo na beef lako. Wee tuendelee tu ndio starehe ya JF, kwa sababu beef lako naliweza, bring it on brother!

Hii habari kusema "Amini Usiamini" ndo tunayojaribu kuiepuka hapa. Mbona unaogopa kuweka source yako? Umeniuliza source yangu nimekutajia jina na tena nimekuongezea kwamba TVT, ITV na magazeti yote can account for my timeline. Wewe nawe tupe timeline ya Rais hiyo June 27. Anyway, kama unaogopa, basi dispute my timeline ambayo ni almost hour-to-hour account of whereabouts za Rais from June 25 to June 27.

Au jibu swali dogo tu: huo mchana wa June 27, ambapo Rais alienda kumuona Chifupa Lugalo ilikuwa mchana wa saa ngapi?
 
Masatu,
Unafikiri mimi siwafahamu wewe na huyo Mugongo Mugongo?... mnatunga mengi tu hata mmefikia kusema JK alikwenda kuhani baada ya tafrija za BBC! huu ni uongo kwa sababu JK alikuwepo hapo jioni ya tarehe 27 lakini sii hoja kwani mnatafuta ufa wa kupenyea ktk sakata hili la marehemu. I have my sources na nitaziweka nitakapo ona kuna kila haja lakini mnazunguka tuuu na habari za magazetini ambazo pia zimewashinda kudhihilisha!
Haya hakwenda kumwona mnachotaka nini hasa!....does it change kuwa mnahusika na kutetea watu wahalifu walio muua AC.
Na bado mtatafuta njia zaidi lakini hamtaweza kunifumba mdomo!...Nchimbi na wauza Unga wote mnahusika na kifo cha marehemu!.
 
mugongoX2,mkandara,
kama Raisi alikwenda kumuona Marehemu AC, au hakwenda itasaidia nini haswa? Je, ndiyo itamrudisha AC? What are you guyz trying to achieve?
 
mkandara,
umekwenda mbali kidogo. Umemtaja mwenyekiti wa UVCCM pamoja na wauza Unga. Je, CCM ni chama cha wauza unga?
 
Masatu,
Unafikiri mimi siwafahamu wewe na huyo Mugongo Mugongo?... mnatunga mengi tu hata mmefikia kusema JK alikwenda kuhani baada ya tafrija za BBC! huu ni uongo kwa sababu JK alikuwepo hapo jioni ya tarehe 27 lakini sii hoja kwani mnatafuta ufa wa kupenyea ktk sakata hili la marehemu. I have my sources na nitaziweka nitakapo ona kuna kila haja lakini mnazunguka tuuu na habari za magazetini ambazo pia zimewashinda kudhihilisha!
Haya hakwenda kumwona mnachotaka nini hasa!....does it change kuwa mnahusika na kutetea watu wahalifu walio muua AC.
Na bado mtatafuta njia zaidi lakini hamtaweza kunifumba mdomo!...Nchimbi na wauza Unga wote mnahusika na kifo cha marehemu!.

Inawezekana kabisa JK, Nchimbi, JWTZ, Mpakanjia, CCM or whoever, killed Amina. Issue hapa ni habari ya uongo uliyoleta.

Mkubwa angalia sasa unaingia kwenye mkenge mwingine unaoonyesha kwamba "sources" zako ni za umbea. Unasema JK hakwenda kuhani msiba baada ya sherehe ya BBC. Huo nao ni uongo mwingine.
 
mugongoX2,mkandara,
kama Raisi alikwenda kumuona Marehemu AC, au hakwenda itasaidia nini haswa? Je, ndiyo itamrudisha AC? What are you guyz trying to achieve?

Joka Kuu,

That is a very good question. See, a lot of peole read here - and I have met people who refer their source of information to JF. Basically, we are seen as a credible source by many people.

One of the reason is that most people here write their stuff confidently and with a tone of certainty. Sasa, when Mkandara said with authority kwamba Rais alienda "kumuaga" hospitalini Lugalo Amina mchana wa siku ya Jumanne, June 26, siku aliyofariki, wakati mimi najua Rais hakuwepo Dar siku hiyo, nikasema enough is enough.

So, what we are trying to establish is the reinstitution of the credibility of the forum.
 
Sawa mimi MUONGO! iache kama ilivyo!....twambie wewe mkweli.

Jokakuu,

Lini nyie mtaacha woga kuwachimbua hawa waovu?... CCM ni jina kubwa zaidi ya hawa watu wachenzi wachafu ambao mnajaribu kuwabeba na kulipaka tope jina la chama. Kazi ya hawa jamaa ni kubadilisha maneno!...naona na wewe umeingia mkenge wao kuwa nazungumzia chama kizima cha CCM.
Nchimbi is behind all this kwa sababu wauza unga wote wana mitego yao hadi serikalini. Kama unakumbuka marehemu alipewa warning kwa message akiwa Bungeni baada ya kulianzisha sakata hili kabla hata halijatoka nje. marehemeu kweli alinyang'anywa simu yake asiweze kuwasiliana na mtu yeyote... naleo hii tunawaona hawa jamaa wakija hapa kuchangia Kila mada inayohusu marehemu kupinga dhana zozote zinazowahusu hawa washenzi!
 
Nimejaribu kuwasiliana na source yangu, hivi sasa wapo ktk sherehe za kumwaga Balozi wangu mpya!....usiku mwema.
 
Sawa mimi MUONGO! iache kama ilivyo!....twambie wewe mkweli.

Jokakuu,

Lini nyie mtaacha woga kuwachimbua hawa waovu?... CCM ni jina kubwa zaidi ya hawa watu wachenzi wachafu ambao mnajaribu kuwabeba na kulipaka tope jina la chama. Kazi ya hawa jamaa ni kubadilisha maneno!...naona na wewe umeingia mkenge wao kuwa nazungumzia chama kizima cha CCM.
Nchimbi is behind all this kwa sababu wauza unga wote wana mitego yao hadi serikalini. Kama unakumbuka marehemu alipewa warning kwa message akiwa Bungeni baada ya kulianzisha sakata hili kabla hata halijatoka nje. marehemeu kweli alinyang'anywa simu yake asiweze kuwasiliana na mtu yeyote... naleo hii tunawaona hawa jamaa wakija hapa kuchangia Kila mada inayohusu marehemu kupinga dhana zozote zinazowahusu hawa washenzi!

Nafurahi sasa kwamba umekubali ukweli kwamba (i) Rais hakwenda kumuona Amina Lugalo siku aliyofariki, na (ii) Rais alikwenda kuhani baada ya sherehe ya BBC. I was surprised kwasababu you can find all this in google.

Ok, now that is out of the way, we can move to those majambazi wa CCM who killed Amina. What you got?
 
mugongoX2,
kwa mkandara suala hili ni kubwa zaidi ya mimi,wewe,yeye, pamoja na marehemu AC. hapa anazungumzia vita dhidi ya madawa. sasa hata kama ametoa infomation ambazo siyo 100% acurate I would cut him some slack.

Katika vita dhidi ya madawa ya kulevya "nothing should be left off the table." Kwa msingi huo, credibility ya forum should not take precedence over the campaign against drug barons.

Mkandara,
Ukirejea postings zangu utaona moja niliyounga mkono kufanyika uchunguzi wa kina na kisayansi kuhusu chanzo cha kifo cha AC.

Jinsi mjadala huu ulivyoendelea ndivyo ambavyo umechukua taswira ya ushabiki wa Vyama na hilo limenichukiza kidogo.

Mimi naunga mkono wote wenye mapenzi mema ambao wangependa tufikie muafaka kuhusu sababu zilizomuondoa AC. Inasikitisha kwamba familia hailiangalii suala hili ktk mtizamo huo. Ndiyo maana mimi nimeamua kukaa kimya.
 
Written by Maxence M. Melo Tuesday, 26 June 2007
dsc026333el4.jpg
Rais Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini Kitabu cha maombolezo Nyumbani Kwa Wazazi wa Marehemu Amina Chifupa jana jioni. Rais alikwenda nyumbani hapo kifariji familia ya marehemu.
 
Written by Maxence M. Melo Tuesday, 26 June 2007
dsc026333el4.jpg
Rais Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini Kitabu cha maombolezo Nyumbani Kwa Wazazi wa Marehemu Amina Chifupa jana jioni. Rais alikwenda nyumbani hapo kifariji familia ya marehemu.

Kaka Mkandara,

What does that picture prove?
 
Back
Top Bottom