Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Jamaa alikuwa amekwenda shughulini,lakini yenye hadhi kidogo ingawa ilipelekwa kiuswaziuswazi.Ulipofika wakati wa ratiba muhimu wakaambiwa wakae wawili wawili,jamaa akajikuta amekaa na muhindi wakaletewa plate moja ya mpunga,wakaanza kurekebisha namna ya kukunja ngumi.Baada ya kumaliza plate ya kwanza mambo yalikuwa kama ifuatavyo
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Akuje!
Ikaletwa plate ya pili,ilipoisha muhindi akauliza
Muhindi:Akuje?
Jamaa: kimoyomoyo;we muhindi tuu. Akuje! akajibu
Ikaletwa plate ya tatu,wakapiga.
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Mmmmmh,akuje!
Ikaletwa plate nyingine,ilipoisha
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Mwenzangu,utaniua.
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Akuje!
Ikaletwa plate ya pili,ilipoisha muhindi akauliza
Muhindi:Akuje?
Jamaa: kimoyomoyo;we muhindi tuu. Akuje! akajibu
Ikaletwa plate ya tatu,wakapiga.
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Mmmmmh,akuje!
Ikaletwa plate nyingine,ilipoisha
Muhindi: Akuje?
Jamaa: Mwenzangu,utaniua.