buhange JF-Expert Member Oct 23, 2011 505 110 Jul 9, 2012 #1 Samahani wadau, Nimesikia kwamba tume ya ajira wametoa nafasi karibu 600, tafadhari aliye na links ktk hili atujulishe. Samahan kwa usumbufu
Samahani wadau, Nimesikia kwamba tume ya ajira wametoa nafasi karibu 600, tafadhari aliye na links ktk hili atujulishe. Samahan kwa usumbufu
C chipalila1 JF-Expert Member Apr 6, 2012 259 31 Jul 10, 2012 #2 hawajatoa mkuu labda kama hkuona tangazo la 29 june. baada ya hapo m cja ona na hv punde nmetembelea site yao
hawajatoa mkuu labda kama hkuona tangazo la 29 june. baada ya hapo m cja ona na hv punde nmetembelea site yao
moto ya mbongo JF-Expert Member Sep 9, 2009 476 326 Jul 10, 2012 #3 kila siku tembelea utumishi sites sio tume ya ajira Public Service Management na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
kila siku tembelea utumishi sites sio tume ya ajira Public Service Management na PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
Kilahunja JF-Expert Member Dec 19, 2011 1,502 341 Jul 10, 2012 #4 buhange said: Samahani wadau, Nimesikia kwamba tume ya ajira wametoa nafasi karibu 600, tafadhari aliye na links ktk hili atujulishe. Samahan kwa usumbufu Click to expand... yaan huwez amini, nimesikia leo mchana kwa shost angu, tena ye kanambia 900
buhange said: Samahani wadau, Nimesikia kwamba tume ya ajira wametoa nafasi karibu 600, tafadhari aliye na links ktk hili atujulishe. Samahan kwa usumbufu Click to expand... yaan huwez amini, nimesikia leo mchana kwa shost angu, tena ye kanambia 900
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,692 Jul 10, 2012 #5 Kilahunja said: yaan huwez amini, nimesikia leo mchana kwa shost angu, tena ye kanambia 900 Click to expand... tusubiri ugomvi.
Kilahunja said: yaan huwez amini, nimesikia leo mchana kwa shost angu, tena ye kanambia 900 Click to expand... tusubiri ugomvi.