Muhimu: Ombi la Kinepi nepi kwa Prince William

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Tuliokuwepo wakati ule MwanajF Prince William aliandika,
Prince William: I have carefully read the last words written by Dr.Ballali before he died in US last year ...... Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia kampe Rostam pesa ili Malaika aweze kushinda uchaguzi... Nikajibu kwamba pale Benki Kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" Dr Ballali

"Nikaka na Rostam nikampa utaratibu wa kumtambulisha kwa Maregesi ili amsaidie kusajili kampuni ya Kagoda... Kwa kuhofia bomu kulipuka nikashauri waingizwe na wengine wengi kwa masharti ya kuchangia Chama asilimia 40 ya malipo... Lengo lilikuwa ni kufanya ionekane kama serikali kwa wakati huo iliamua kulipa madeni." Dr Ballali.

Now this is just the version of the dossier by Dr Ballali where he strongly revealed how Rostam swindled the billions. The party was given only Sh.10billion.

In conducting all bank transactions, Rostam used his personal secretary Tabu Abdula as a cover-up. There's all evidence.

Kinepi_nepi: Naomba kabla hujafa post entire script ya Ballali

Prince tafadhali, tudondoshee sehemu iliyobaki.

La, kama FMES, MMM, Sikonge au Nyani Ngabu mmewahi kuipata naomba mtudondoshee kidogo kidogo kama si yote kwa ujumla wake.
 
Back
Top Bottom