Muhimbili: No Comments

M9350112-Family_in_village_hospital_ward,_Tanzania-SPL.jpg


Hii inasemekana ni Nachingwea
 
Generali hakuna picha nzuri popote Tanzania.
Mpanda kwa Mizengo 'liwalo na liwe" Pinda wodi hazijai kwa sababu hakuna madaktari hivo wagonjwa wanajaa kwa waganga wa kienyeji.
Si unakumbuka kule?
 
Unaenda na ugonjwa mmoja unarudi na magonjwa kumi na moja. Even fool can make sense, yani wabunge mnawapa budget ya kununua VXR and big allowance unnecessary na mahospitali kumeoza au ndio mambo kama haya.

Kweli hii nchi inaongozwa na vilazaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Oya mko serious au? Hii ni kabla au baada ya Uhuru, as in hiyo picha ni Tanzania?

haya mambo nshawah kuyaona jengo la watoto kule karibu na fast track,,,,,wanawake hawa ndo wale waliotoka kujifungua,,,,watoto wao huwa wanakaa kwenye vyumba maalum,,,,,hapo ukipata kitanda ujue ume-corrupt,,,,,,wakat wa kuingia kuona wagonjwa unapaswa kukanyaga kwa step sana,vinginevyo utakanyaga mtu
 
Tatizo viongozi wetu huwa wanahutubia sokoni,stendi kunakohudhuriwa na watu ambao ni wazima wa afya,wanajifariji na hali wanayotuona nayo mtaani wanaona huwa hatuumwi,sisi ni sugu! ndo maana hawaoni umuhimu wa CT SCAN,X RAY,MADAWA,na WARDS na VITANDA wanaona zinatosha sana coz wanajua huwa hatuugui,ndo maana kwenye ahadi zao wanaongelea zaidi FLYOVERS. hawataki kuwaboreshea mazingira ya kazi madaktari kwa sababu KAZI YENYEWE RAHISI watanzania hawauguiugui,hata Mk.were anapopita speed na gari zake kwenda airport anawaona wamejazana kwenye foleni na magari along nyerere road,wangekuwa wanaumwa si wangekuwa hospitali!?

NOTE:(hii ni kwa wenye upeo kama wangu tu!)
 
ukipitia mahospitalini ukazunguka nchi hii kisha ukatembelea JF ukakutana na habari za akina shimbo na trilion 3 akiwa amehifadhi south Afrika, huku kila kukicha mali asili zetu kila kukicha zina safirishwa kinyemela huku vigogo wa serikali ya ccm wakijilimbikizia zaidi ya trilion 16 uswiss na kwingineko wakati watanzania wanajifungulia chini, hawana maji ya kumywa..ukiambiwa andamana hata mida hii utakuwa tayari kama mimi..

unakuja kugundua kabisa ni bora uendelee kushabikia mpira ili kupunguza stress za nchi yetu...:thinking: :thinking: :coffee:
 
Ni pale uchumi wa nchi hii ulipotoka mikononi mwa umma na kudhodhiwa na viongozi na watu binafsi ndipo hapo janga hili la umaskini liliposhika hatamu...

Zamani ilikuwa kama hivi:

attachment.php


Leo hii ni hivi:

4914352.jpg
 
images



Hiki ndio Kiti Cha Wagonjwa. Hii ni Hospitali Kuu Bagamoyo

Mwanangu hiki kukisukuma peke yake kikiwa na mgonjwa au hakina ni nafuu mgonjwa ukambeba mgongoni tu!
Na kinavyotoa kelele za misuguano kwenye gurudumu zake, kama ni mgonjwa wa presha lazima azidiwe zaidi...
Hiki kinafaa kiitwe "KITI KIGONJWA"
 
halafu useme wagonjwa wsnaenda gospitali kupona,kweli!.. unajua magonjwa yapatikanayo hospitalini(NOSOCOMIAL INFECTIONS)?? Hivi kama aliye ktk picha ni mtoto wako,mama, shangazi n.k kweli akipata Kifua kikuu, magonjwa ya ngozi, magonjwa ya tumbo tuwalalamikie madaktari tena kuwa ndio walishindwa kuwatibu?.. wakiona hali hii na kufata mila zetu kwenda kwa waganga mtawashangaa hao wagonjwa?.. hakuna guarantee ya uzima, hebu fikiri ukiugua uwe sehemu kama hii!
 
Back
Top Bottom