Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kafara, point nzuri sana hiyo. Inaonekana ni kuwa kilichotokea ni kama kuporomoka kwa dominoes... kuna ndiye aliyesababisha kwa uzembe, kutokuwa mwangalifu au pure idiocy majina kuchanganywa... na hata alipogundua labda alitumaini "mtu mwingine" atasahihisha; which reminds me of that 200,000 check that JK received...