Kama mwana JF natoa pole kwa masikitiko makubwa.Kinachonishangaza tu ni suala la hizi tume.Labda ni utaratibu tu wa serikali, lakini usipofanya mambo kuwa magumu, ni wazi wauguzi waliompotosha daktari ndio wangeshughulikiwa.Sjafahamu kama wamechukuliwa hatua gani zaidi ya kujua aliyechukuliwa hatua ni daktari mhusika.Asante