mwenye degree zaidi ya moja,i.e masters of medidicine,au specialist kwa kimombo ndo anaitwa daktari bingwa.aweza kuwa bingwa wa watoto,kina mama,upasuaji,macho,mifupa n.k.sio cheo cha kujipa mkuu,ni cha kusomea,miaka kadhaa.sio kama zile PhD za mheshimiwa mkuu wa kaya!!!!!!!1Hawa madaktari wana haki ya kudai malipo bora lakini jambo ambalo limekuwa linanipa shida kuelewa ni matumizi ya neno 'bingwa'. Kama wao ni madaktari bingwa kwa nini wagonjwa (kiongozi mgonjwa ni mgonjwa tu) wanapelekwa India? Ubingwa wao ni kwenye nini hasa? Tanzania tumezidi tamaa ya kutaka vyeo vya mng'aro. Daktari bingwa?
Ila kwa kweli inasikitisha sana posho ya Daktari Bingwa Tshs 10,000 wakati Mb hata asiposema lolote bungeni ili mradi asaini tu anabeba kilo 2. Kweli nimeamini maisha bora kwa kila Mbunge yanawezekana
wewe unaedharau madaktari utakuwa ni mpuuzi mkubwa na hujui unaongea nini.inanipa tabu hata kukuelewesha kwa sababu nina uhakika asilimia mia moja akili yako ni ndogo sana.
Me mwenyewe imenishangaza sana DR. Kulipwa 10,000?wakati Komba na Wasira wanataka walipwe 200,000 kwa kulala kwenye vile viti vya sponchi?hii si sawa hata kidogo.
Nakubaliana nawe, katika utendaji wa madaktari wetu ovyo kabisa. Matbabu pale ukiona hata vigogo wanakimbilia nje, je itakuwje kwa mlala hoi?
bingwa= specialist dr, mambo ya kiswahili hayo. Wagonjwa kupelekwa nje ni kutokana na ukosefu wa vitendea kazi vya kisasa ktk hospital zetu.. kuna madaktari bingwa wengi sana lkn kutokana na mfumo uliopo [lack of departmentalization] wanajikuta wanafanya kazi zisizowahusu [eg; cardiologist anatibu mifupa, malaria, anazalisha etc]. viongozi kutibiwa nje ni ubinafsi wa wateule wenyewe kwakuwa hawalipii hizo gharama wenyewe mfano ni yule mama waziri aliyekwenda kujifungua USA
Nakubaliana nawe, katika utendaji wa madaktari wetu ovyo kabisa. Matbabu pale ukiona hata vigogo wanakimbilia nje, je itakuwje kwa mlala hoi?
laiti ungejitambua ungejisalimisha muhimbili national hospt,psychiatric unit!!!!!!unaumwa!!!