SIMBA mtoto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 204
- 100
Wana JF mlioko maeneo ya hospitali ya taifa ya Muhimbili, nimesikia tangu jana, Mawaziri, Rais wastaafu, Spika, wabunge, wakuu wa mikoa wamekuwa wakiingia na kutoka kwa misafara hospitalini hapo jambo ambalo siyo la kawaida, je kuna tukio gani ndani ya hospitali?