Wanajamii niko Muhimbili katika mafahali. Mabomu ya machozi yanalipuliwa katika hosteli wanafunzi wanabeef na serikali. Nitawajuza
Kwa sasa pametulia, shughuli inaanza muda si mrefu lakini chini ya ulinzi mkali.
Mimi Andare, kwa mamlaka niliyopewa, nakutunuku shahada ya heshima kutokana na michango yako chanya humu JF.
(makofi, vigelegele na sauti ya bendi ya brasi...)