n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili wamefanya maandamano ambayo yamepelekea shughuli nzima ya mahafali kusimamishwa kwa muda mpaka dakika hii. Kuna uwezekano ikashindikana kabisa kwani hali bado ni tete.
Na FFU wakaingilia kati na mabomu ya machozi na virungu:
Na FFU wakaingilia kati na mabomu ya machozi na virungu: