Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakuu huu ni mtizamo wangu na msije mkaniua .kwa siku za karibuni watu wanaotembelea blogspot ya michuzi wamepungua kwa kasi ya kutisha,hata ukiangalia comment za watu kabla ya uchaguzi michuzi alikuwa akiweka bandiko ndani ya nusu saa unakuta comment zishafikia 20-40. Lakini sasa hizi zinachezea kati ya 1-5. Hii ni kwa sababu wananchi hawaikubali nambari wani na ile blog kila kukicha ina mipicha ya nambari wani ambao wananchi wengi hawataki kusikia .Michuzi siku za blogspot yake naye zinahesabika.watu sasa hizi sio wajinga tena kuvalisha matshirt na mikofia halafu unataabika miaka mitano.2010 FOR DR: SLAA.