BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Tunaitaji vichwa vyenye akili kama hivi
michael richard wambura...labda mtajiuliza kwa nini nasema hivi soma vichekesho
kipindi cha michezo juzi alilizwa sheria zitakazotumika kupitisha wagombea akadai
moja wapo ni elimu kidato cha nne..ne ziniginezo
sasa basi mchakato umepita amepitishwa mtu anaitwa amin bakheresa ...nasikitika kweli hela yake kipindi hiki aitafanya kazi maana watanzania tumeamua atutaki kukaa na walevi wa madaraka ..huyu bwana ana miaka 30 kwenye uongozi pili hana elimu ya kidato cha nne ..tatu amekaa kwenye uongozi miaka 5 bila kuitisha uchaguzi...sita amekubali kukaa na kaimu katibu mkuu miaka 4 kwenye uongozi
nasema shame kwa nini mzee wetu huyu amejiaibisha ningekuwa mimi mwanae kesho yake ningeandika sick nikaondoka ..alipotaja majina akaulizwa bakhresa amepita kwa kanuni gani hana kidato cha nne ...akajibu amepita kwa historia ...akaambiwa unajua katiba ya drfa vizuri akaishia nasema hiviusiniulize we mtoto mdogo sana uwezi sumbua kichwa changu waambie waliokutuma wakaweke pingamizi kwa kufwata sheria ....gooooooooooodd
naamini this time mzee muhidin aibu itakushukua ameweka pingamizi si la bakheresa hadi na wewe utakiwi kuwa mwenyekiti hata kidogo na usanii wako
michael richard wambura...labda mtajiuliza kwa nini nasema hivi soma vichekesho
kipindi cha michezo juzi alilizwa sheria zitakazotumika kupitisha wagombea akadai
moja wapo ni elimu kidato cha nne..ne ziniginezo
sasa basi mchakato umepita amepitishwa mtu anaitwa amin bakheresa ...nasikitika kweli hela yake kipindi hiki aitafanya kazi maana watanzania tumeamua atutaki kukaa na walevi wa madaraka ..huyu bwana ana miaka 30 kwenye uongozi pili hana elimu ya kidato cha nne ..tatu amekaa kwenye uongozi miaka 5 bila kuitisha uchaguzi...sita amekubali kukaa na kaimu katibu mkuu miaka 4 kwenye uongozi
nasema shame kwa nini mzee wetu huyu amejiaibisha ningekuwa mimi mwanae kesho yake ningeandika sick nikaondoka ..alipotaja majina akaulizwa bakhresa amepita kwa kanuni gani hana kidato cha nne ...akajibu amepita kwa historia ...akaambiwa unajua katiba ya drfa vizuri akaishia nasema hiviusiniulize we mtoto mdogo sana uwezi sumbua kichwa changu waambie waliokutuma wakaweke pingamizi kwa kufwata sheria ....gooooooooooodd
naamini this time mzee muhidin aibu itakushukua ameweka pingamizi si la bakheresa hadi na wewe utakiwi kuwa mwenyekiti hata kidogo na usanii wako