Kaka Mungu akutangulie
naye mpuuzi tu ameona ndo sehemu ya kutafutia sifa kwenye vifo vya watu.kweli chadema inafanya siasa za maji taka huwezi kujitafutia kwenye mauaji kama hayo,watu wanahuzunikawamepoteza ndugu zao wewe unatengeneza cd,wawaone tena wanapigwa sisasi si wataanza upya kilio.
naye mpuuzi tu ameona ndo sehemu ya kutafutia sifa kwenye vifo vya watu.kweli chadema inafanya siasa za maji taka huwezi kujitafutia kwenye mauaji kama hayo,watu wanahuzunikawamepoteza ndugu zao wewe unatengeneza cd,wawaone tena wanapigwa sisasi si wataanza upya kilio.
usiongee usilolijua!tafuta hiyo CD uiangalie.nimebahatika kuipata machozi yalinitoka kweli ni uonevu wa hali ya juu uliotendeka!