bravo kama wao wanavyowasikiliza maaskofu wao
Hebu waambie ccm wasiwasikilize maaskofu.
bravo kama wao wanavyowasikiliza maaskofu wao
Mkuu hapa unafanya makosa makubwa kutoa habari za uongo.Kwanza kamwite Askofu wenu Laizer na Askofu mkuu wa katoliki watueleze kwanini walikuwa wanatuambia tuwachague Chadema mwaka jana?
Acha kutuletea hoja za kimasaburi hapa. Nchi nzima imepoteza dira. Huyo DC ni muislamu as long as akiwa hajabadili dini yake kwa kuritadi (kutamka amejitoa katika uislamu). Hivyo basi inamlazimu avae hijabu au mtandio kusitiri nywele zake. Kaulize wajuzi wote wa dini watakuambia.
Ama kuhusu kuolewa na mkristo hilo swala jengine ila kiislamu hapo hakuna ndoa bali wanazini ila yule mwanamke ataendelea kuwa muislamu kama kawa!!!! Acheni udini wenu nyie watu mnaipeleka nchi pabaya na ubaguzi wenu wa kijinga. Tuliachie jambo lijadiliwe mahakamani kwanza ndio tuseme lolote.
Mkuu hapa unafanya makosa makubwa kutoa habari za uongo. Imani ya dini sio jina wala kukiri kwa ulimi pekee bali ni kuamini na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu..Ipo mifano mingi ktk Uislkaam inayoonyesha watu wakati wa Mitume wakivaa mahijab, wakiitwa majina ya kiarabu hawakuwa Waislaam na Manasara na Wayahudi walioitwa waislaam. Jua moja kubwa sana ktk Uislaam linasema tofauti baina ya Muislaam na Kafir ni SALA.. sasa kama kuran imesema hivyo utamwita vipi mtu aliyekiuka mengi zaidi ya sala!..Hijab ni vazi la staha kwa mwanamke ni ustaarabu wa vazi ambao unafanywa na Wakristu, Wayahudi, Budha, Wapagan na Waislaam.
ni msimamo wa waislamu wote, wewe unasema aje? Mufti ni kiongozi wetu akisema wote tunaunga mkono.
Nakuelewa katika hilo lakini Mufti ndiye kalifanya swala hili kuwa la dini.. haya ni makosa ambayo wewe kama Muislaam hutakiwi kuyaunga mkono. Sasa kama Askofu alisema hivyo nasi tunatakiwa tuseme hivyo? Haya Askofu kawaambia wanywe pombe sii haramu wee utamtaka Mufti atangaze kwa waislaam..Yamekuwa mashindano?Mkuu,
Suala la DC mie nimesema sitaki comment hadi litolewe hukumu mahakamani ila inashindikana kuvumilia wakati watu wanapomkebehi mufti aje awajibu watu wakati maaskofu wakitoa matamko yasiyowahusu siwasikii wakisema wanamuomba Askofu Laizer au Askofu wa Katoliki aje kujibu humu jamvini huu unafiki siukubali.
Ama kuhusu DC kuna watu wanaomjua vizuri huyo mama na ni kweli muislamu achana na habari za akina Kubenea wanaopotosha mambo. Kuna watu wa karibu wa huyo mama wanasema ni muislamu. Hivyo suala la hijabu kwake ni lazima na wajibu hata kama ameshazaa na mkristu au la. Hivyo mkuu nina uhakika na ninalolisema kuwa huyu mama ni muislamu kweli na sio mkristo kama baadhi ya watu wanavyodai. Nimefuatilia kwa ukaribu kufahamu zaidi.
punguani ni wewe na familia yako huwezi kujumuisha waislamu wote bloodyfoooool!!!!!!
Nakuelewa katika hilo lakini Mufti ndiye kalifanya swala hili kuwa la dini.. haya ni makosa ambayo wewe kama Muislaam hutakiwi kuyaunga mkono. Sasa kama Askofu alisema hivyo nasi tunatakiwa tuseme hivyo? Haya Askofu kawaambia wanywe pombe sii haramu wee utamtaka Mufti atangaze kwa waislaam..Yamekuwa mashindano?
Makosa yalifanyika kumvua mama yule vazi lake la staha kama utakavyovuliwa wewe nguo yoyote ile ya kiume hata ikiwa kofia ni makosa na Uislaam unapinga kuvuliwa binadamu vazi lake na dini zote sii Uislaam pekee unapinga matumizi ya nguvu. Mufti anaposimama na kusema waislaam wasikipigie kura Chadema kwa sababu walimvua mwanamke hijab ili hali mhusika tayari kisha kamatwa na kupelekwa mahakamani, hii sii kwa mapenzi na mafundisho ya dini, ni UDINI ili kujenga chuki za wananchi dhidi ya chama. Kuna zaidi ya mauaji ya Mwembechai ama kuvunjwa kwa Balukta na viongozi wake kutiwa ndani wengine kuuawa, hakuna kesi wala serikali kuomba msamaha! Mbona sijasikia hawa viongozi wakisema tusikichague chama cha CCM!
Mkuu wangu msipende sana kuwashabikia hawa watu ambao wamewekwa kwa ajili ya kukitumikia chama. Kesho itakuwa Idd Alhaj watakwambia hutakiwi kusherehekea Idd hadi Mufti atoe idhini hata kama jana yake waumini walisimama Araf..Yaani Mufti amekabidhiwa mamlaka ya Kiungu?.. Acheni ushabiki mkuu wangu, hautaweza kuwasaidia waislaam isipokuwa kuwaondoa zaidi ktk Uislaam.
Toilet paper: Ukishaitumia .......!!!!
Poleni sana.
Ni msimamo wa waislamu wote, wewe unasema aje? Mufti ni kiongozi wetu akisema wote tunaunga mkono.
Toa takwimu za waislamu wa Igunga walivyoitikia mwito huo, halafu linganisha na takwimu za wakristo walioipigia CDM. Kiufupi wewe ndiye uliyesababisha waislamu wasiipigie CUF na CCM kura. Maana mpango mzima ulikuwa CDM itoke kapa sasa hizo asili mia 44 yz CDM mbona nyingi sana ukilinganisha na 4% ya CCM B.Ni msimamo wa waislamu wote, wewe unasema aje? Mufti ni kiongozi wetu akisema wote tunaunga mkono.
Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.