Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Anaweza kiongozi huyu mkumbatiaji mkubwa wa magamba kutamka hivyo?
Manake tayari kisha ingilia masuala mengine kama vile ya sensa nk. tunataka alaani masuala ya tija zaidi kwa mustakabali wa taifa hili kuwalani mafisadi wa CCM, kama kweli ana huruma na Watz wanaoibiwa.
Manake tayari kisha ingilia masuala mengine kama vile ya sensa nk. tunataka alaani masuala ya tija zaidi kwa mustakabali wa taifa hili kuwalani mafisadi wa CCM, kama kweli ana huruma na Watz wanaoibiwa.