Bakwata hawana ubavu huo wanabwaka tu, wao wenyewe credibility yao ni questionable wasafishe nyumba yao kwanza.
Hawana jipya zaidi ya kutafuta njia ya kutokea na kuficha madudu yao. Ni ukweli usio na shaka uislam haupo kitaasisi kama ukristo na madhehebu yake catholics, Lutheran, Anglican nk. Bakwata ni kikundi cha wajanja wachache wasio na mandate yeyote kwa waislam ndio maana no body is taking them serious.
Masatu.. nakuunga mkono 100% kuhusu credibility ya BAKWATA kwenye safu za waislamu.
Ila ni ukweli usiopingika kuwa at least kwa hili they have said some thing.... yaani kwa maneno mengine ile kauli ya enough is enough wameithibitisha. Nadhani tuwapongeze.
Unajuwa sikutegemea kusikia kauli hii kutoka BAKWATA. Maana hawakuwa na kuumauma maneno..they went very straight to the pint na kuita nyeupe ni white.
Takbiir.