Careboy wamuntere
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 163
- 35
Kitendo cha kumuamini sana huyo Dr wako ndo itatufanya tuelewe kuwa ni mumewe.Unamtetea mumeo huyo kwanini useme unaudhuria kikao then uzime simu unafikiri Dr kusema Zitto tumemsubiri lakini kwasasa hapatikani, hiyo ndio kiongozi makini unayemsemea wewe au umetumwa?
Pili ni kwamba Zitto anajua maana na umuhimu wa kutii sheria bila shuruti, na ametawaliwa na busara zaidi na sio kukurupuka. kiufupi zitto amesoma akaelimika, ila hao top lea wenu Dr na mzee wa mikasino, ni madarasa tu kichwani lkn elimu sefuri.
Zitto wasikuburuze hao, tunajua kama ni kuijengea umaarufu chadema wewe ndo Jembe, sasa umewafikisha juu, wanataka kukuchafua. we kaza buti tu mwanangu popote unafiti, hata ukigombea kiti binafsi unakubalika, watu wanaona uadilifu wako baba. achana na hao wakurupukaji.