Muendelezo wa Zitto Kabwe Kuasi chama?

Pamoja na kutoaminika kwake Zitto lkn kwa tukio la leo hatujajua bado nn kimemtokea,labda kapata matatizo i.e ajali lets be patient and wait. Judge not!
 
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!

teh,teh,teh! Nawe ni CDM? Eti ''jaziba zetu zitatugarimu'' nenda kwa magamba wenzako ya CDM hayakuhusu.
 
Mkuu usiye kama wale wenye macho lakini hawaoni,au wenye masikio lakini hawasikii,nimeandika kua Zitto alihaidi kutokea leo lakini hakutokea,pia katika viongozi wote wa CDM,ni yeye peke yake ndio haonekani kwenye mikutano ya M4C,kwa nini wafuasi wamtuhumu yeye na si Mnyika,Lissu,Sugu na wengineo?

Sawa mkuu, nakubaliana na wewe lakini kishaulizwa kinachomsibu?
Pengine ana sababu za msingi.

Ushabiki wetu usitufumbe macho
tukashindwa kuuona ukweli. Naamini kabisa kuwa CDM ni chama makini
cha watu makini.

Huu ni mtazamo wangu...
 
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!

Jf kuna watu wengine wenye vichwa vya 'Shake Well Before Use'
 
Sawa mkuu, nakubaliana na wewe lakini kishaulizwa kinachomsibu?
Pengine ana sababu za msingi. Ushabiki wetu usitufumbe macho
tukashindwa kuuona ukweli. Naamini kabisa kuwa CDM ni chama makini
cha watu makini. Huu ni mtazamo wangu...

Nakubaliana nawe mkuu kwa kua umeliona ilo kwa jicho la tatu,ila historia ndio inayo muhukumu Kabwe,anyway ngoja tusubiri,tuone na tupime maelezo yake
 
Hivi CDM wanahofia nini kutokuwepo kwa ZITTO katika mikutno yao? kwa nini wasitamke kuwa hawamtaki badala ya kumumunya maneno.
Ni nani hamtaki mwenzake, Wanaetaka kushirikiana nae au hasietaka kushirikiana nao?

Mimi binafsi mara ya mwisho kumuona Zitto "akishirikiana" na wenzake ni kwenye picha hapo chini.

attachment.php
 
Pamoja na yote C.c.m sasa Morogoro inabaki kua historia,na damu mliyoimwaga leo Morogoro itawaandama kila muendako,C.C.M bye bye Morogoro
 
Slaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.
Umeonae?jamaa fulani alidai eti anazee...vibaya.Mi cmo bt kiungwana angepotezea kwani yye hakosei?
 
ZITTO hakukosea bila shaka ,kwa sababu mkutano haukua halali kutokna na kutopata kibali cha polisi

Nafikir umelewa gongo kumbe hufatilii nenda kajipange upwa maana unaweza poteza kibarua maana Nape ameanzisha checklist ya nani hafanyi vizuri katika kueneza propaganda
 
Umeonae?jamaa fulani alidai eti anazee...vibaya.Mi cmo bt kiungwana angepotezea kwani yye hakosei?

Yatasemwa mengi,ila Watanzania sasa wameamua kua C.c.m sasa lazma ikae chini,Morogoro imebaki history kua ilikua ngome ya C.c.m
 
WanaJF, kwenye uongozi wa siasa tusiohudhuria vikao kama vya kamati kuu ya chama, tunachojua ni nusu tu ya ukweli wa yainayojiri.

Suaa la zito sio rahisi sana kujua nani ni nani ila wao viongozi wetu wanajuana mapungufu yao na kama viongozi inatakiwa wafichiane.

Kitendo cha Zito kuahidi na kutofika kwenye kikao ni ishara kwamba something is wrong some.

Lakini hatuwezi jua ni nani kasababisha. Kwlahiyo ni bora wanachama tukawa watulivu kuliko kuanza kuhukumu watu kwa kutumia hisia tunazojengewa na upande mmoja.

Nasema wanatujengea hiisia kwani hawatamki waziwazi mapungufu ya upande wa pili ili sisi kama wanachama tupima na kupendekeza hatua sitahiki za kuchukuliwa. Haya mawazo ya kukimbilia kudhani kumfukuza zito ni suluhisho mimi nayaona ni potofu na yatakiyumbisha chama.

Zito ni kiongozi na anawafuasi wengi sana kuliko unavyoweza kudhani. Cha mhimu ni kuwaomba viongozi wetu wakae chini na wajue wakitengana watakosa wote so wanatakiwa kuwa na mshikamano na kutoa taswira chanya kwa wananchi.

Mabadiliko yanagharama kubwa sana na kamwe hayaji mkiwa mnagonga glass na kuchekeana.
 
Mwenendo wa zitto kabwe katika chama cha democrasia unazidi kulegalega baada ya zitto mwenyewe
kuwa anasusia mkutano ya chama, mpaka sasa tokea cdm waanze mikutano yao ya M4C zitto amakuwa akiasi hiyo mikutano, Je hii inaashilia nini? Mfano Jana zitto alikacha mkutano wa Morogoro

images


Wachambuzi wa mambo wanasema Zitto anajiandalia makazi mengine kwahiyo hataki kuwakwaza

Zitto wa 2007 sio Zitto wa 2012
 
Zitto siku zote ni mguu mmoja ndani na mwingine nje hasa ikizingatiwa anavyoteswa na malengo yake fichi ya kutaka awe rais wa Tanzania. The boy is now a liability to CDM. Boot him out just soon.

Siyo huyu ni Mshirika/rafiki yake na Nzoka wa TISS
 
Tunajua ila acha majungu.thrid juu ya zitto sasa bac

Mkuu nini maana halisi ya majungu?na hapa ni jukwaa huru, habanwi mtu wala kuzibwa mdomo mtu kutoa maoni yake au kupata ushauri na wadau wengine, imekukwaza au hauna hoja ya kuchangia unaweza pita kimya kimya tu mkuu
 
Back
Top Bottom