10-12 weeks - Kama Mama Mzazi anayo Afya Njema - Vinginevyo ni vizuri ukasubiri zaidi maana inatgemea alijifungua kwa njia gani na afya yake imeimarika kiasi gani...
Uwe mvumilivu saana maana "nyumba ndogo" uanzia kipindi hiki
God Bless
Miezi sita baba! Usitoke njeeee weweee vumilia!
Kikawaida ni siku 40, mama anakuwa salama ku do. Kikubwa zingatia afya yake na lishe. Pia style ziwe zile soft sio unagonga tu na masarakasi. Kwa ushauri zaidi nenda RCH clinics ya karibu watakujuza kila kitu. All the best.
Hivi hata siku 40 mwanaume anavumiliaje?
Mbona kawaida tu hata mwaka ukitaka inafaa! Tatizo ni kudekeza miili hii. Jitahidi tamaa isikuongoze
jamani kumbe mambo haya hayana formula, naona kila mmoja anatumia uzoefu wake!
siku zote hizo mhhhhHapa fomula hakuna, ila inaonesha mathematical variation inaround kwene siku 45-60 kutegemea na afya ya mama!