Muda wa tendo la ndoa

Naendelea kufuatilia vzr michango yenu, na kwa hesabu zangu za haraka haraka kupitia mawazo ya ushauri wenu mlionipa hapa jamvini siku 40 ndo zimekuwa na idadi kubwa, bt mathematically averaged to 65 days huku hali na afya ya my wife kuzingatiwa. Ahsanteni sana.
 
Dah! darasa zuri....mi nakumbuka wakati mamsap yuko preg nilikuwa mpaka naogopa kugusanae lakini daktari akashauri nilie mzigo kama kawaida provided hana complications zozote, kudadadeki jibaba nilikamua mpaka 3 days before delivery......Hiyo kunyonyesha only after 40 days kitu mwake mwake na yeye atakuwa ameshaanza kuitamani..:nerd:

kama akiwa na mimba we kamua tu maana hiyo huwa tunaita parizi........unasafisha njia

 
Ndg wana JF naombeni mnisaidie kujua hili, inamchukua muda gani mwanamke anaye nyonyesha kuanza kushriki tendo la ndoa na mwenza wake?
Naombeni majibu yenu mnaojua plz

wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!
 
Kikawaida ni siku 40, mama anakuwa salama ku do. Kikubwa zingatia afya yake na lishe. Pia style ziwe zile soft sio unagonga tu na masarakasi. Kwa ushauri zaidi nenda RCH clinics ya karibu watakujuza kila kitu. All the best.
avatar yako tu imehusika 1 kwa 1 na post
 
wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!

This is fun...kama mtoto amezaliwa na makalio meusi usubiri yageuke rangi gani???lol JF kuna vituko kweli kweli..

Mleta mada, nenda clinic na mama kama ulivyoshauriwa utapata majibu pia mana ulitakiwa ufahamu hili tangia kapata ujauzito!!..
 
<p>
wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!
</p>
<p>&nbsp;</p>
hehehe,inabidi jamaa ajipe kibarua cha kubadili diapers,manake mama anakuwa anajiskia kupendwa,halkadhalika mwana nae.huku baba anawinda chake.sijui kwa nn wanaume mnalemaa kwenye strategies,u could turn any situation to a triple advantage,know!
 
Mi wiki tatu tu niliweza ku do sijui wengine, ila inashauriwa ukae mpaka upone arobaini zinatosha, ila ajabu wengi wanatoka arobaini na mimba
 
Mi wiki tatu tu niliweza ku do sijui wengine, ila inashauriwa ukae mpaka upone arobaini zinatosha, ila ajabu wengi wanatoka arobaini na mimba

gaga sasa unautani na wapemba. Me siku ya 35 kwa kweli tulimzibua mtoto masikio. Kiafya ni 6 weeks ila inategemea na afya ya mama.
 
gaga sasa unautani na wapemba. Me siku ya 35 kwa kweli tulimzibua mtoto masikio. Kiafya ni 6 weeks ila inategemea na afya ya mama.
lijitahidi mwali zile nyuzi zinawasha vibaya lazima utafute kikunio mwenzangu
 
kama bado hajawa powa unaweza hata ukaanza kwa kumpa mic mama cha msingimjusi abanwe na kishamjusi acheuwe.
 
Ndg wana JF naombeni mnisaidie kujua hili, inamchukua muda gani mwanamke anaye nyonyesha kuanza kushriki tendo la ndoa na mwenza wake?
Naombeni majibu yenu mnaojua plz

Inategemea kajifungua kwa namna gani.

1. Kama kwa operation basi mpaka mshono upone na asiwe na dalili ya maumivu, cause kama unavyojua hiyo shughuli ni ya fujo sana.
2. Kama alipojifungua aliongezwa njia (kwa maana mtoto alikua mkubwa kuliko njia) inabidi eneo husika lipone kabisaaa. Na sababu hua for two weeks kunakua kumepona mda advisable ni miezi miwili.
3. Kama kajifungua salama, ni maelewano yenu tu lakini ni lazima awe amemaliza walau wiki nne, kikubwa kua very gentle na bahati mbaya yako hapa kwa baadhi ya wanawake by the time umefunga goli kama unavuta mda anaweza kukupita mawili.

ZINGATIA siku za mwanzo kua gentle, mnaweza rudi vurugu zenu zote walau after five to six months.
 
Inategemea kajifungua kwa namna gani.

1. Kama kwa operation basi mpaka mshono upone na asiwe na dalili ya maumivu, cause kama unavyojua hiyo shughuli ni ya fujo sana.
2. Kama alipojifungua aliongezwa njia (kwa maana mtoto alikua mkubwa kuliko njia) inabidi eneo husika lipone kabisaaa. Na sababu hua for two weeks kunakua kumepona mda advisable ni miezi miwili.
3. Kama kajifungua salama, ni maelewano yenu tu lakini ni lazima awe amemaliza walau wiki nne, kikubwa kua very gentle na bahati mbaya yako hapa kwa baadhi ya wanawake by the time umefunga goli kama unavuta mda anaweza kukupita mawili.

ZINGATIA siku za mwanzo kua gentle, mnaweza rudi vurugu zenu zote walau after five to six months.

Asha nimekugongea thanks aise, ushauri pouwa.
 
dah! Shule safi sana hii heh? Mara siku 40,60,35 na afya ya mama ehe! Niambien shule safi sana mana ndo 2naelekea huko mh?
 
Back
Top Bottom