Jaffary
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 806
- 385
Tumekuwa tukishuhudia matukio kadha wa kadha ambayo ama yamesababisha vifo au majeruhi au uharibifu wa mali za watu au umma!
Nafikir muda umefika kwa hivi vyama hasimu kuafikiana na kufanya siasa safi na zenye tija kwa jamii otherwise tunakoelekea kutakuwa kubaya sana japo mimi si mtabir!
Nafikir muda umefika kwa hivi vyama hasimu kuafikiana na kufanya siasa safi na zenye tija kwa jamii otherwise tunakoelekea kutakuwa kubaya sana japo mimi si mtabir!