Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Wadau katika kauli nazichukha mimi binafsi ni hii, utakuta mjadala mzuri unaendelea . Watu wanachangia mambo mazuri lakini utashangaa kipindi kinafungwa eti muda umeisha zaidi ya hapo wanaweka tv ya urusi na haituhusu wala haina matangazo ya tz. Je inatusaidia nini? Mbona kenya habari huwa inajitosheleza na hawana taarifa ya ea. Sisi tumelogwa au taarifa za k. Ug. Zinatuhusu nini? Mbona kenya hawana taarifa hizi za habari. Tunajipendekaza nini je inatsaidia au ni upuuzi tu? Nawasilisha ugomvi no.