kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
Mwanamke akitaka kupata mototo baada ya kuacha kutumia dawa za uzazi wa mpango,
anatakiwa akae muda gani ndipo apate mimba? na wakati huo wa kusubiri afanye nini?
nauliza hivyo kwavile nimesikia hayo madawa sio mazuri na yanasumu mwilini hivyo akiacha kuyatumia lazima apitishi kipindi fulandi ili mwili wake uweze kurudi katika hali yake na pia kutoa sumu mwilini.
anatakiwa akae muda gani ndipo apate mimba? na wakati huo wa kusubiri afanye nini?
nauliza hivyo kwavile nimesikia hayo madawa sio mazuri na yanasumu mwilini hivyo akiacha kuyatumia lazima apitishi kipindi fulandi ili mwili wake uweze kurudi katika hali yake na pia kutoa sumu mwilini.