MUCE nao wagoma

PayGod

JF-Expert Member
Mar 4, 2008
1,259
57
Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo kikuu cha mkwawa MUCE, na wamegoma kuingia darasani
source TBC 1, habari saa 2
 
Kupunguza gharama Pinda hana haja ya kurudi Dar aunganishe Iringa Muce halafu akitoka huko apite SUA najua na wenyewe wako mbioni.
 
madai ya wanafunzi hao ni kutopatiwa fedha ya mikopo kwa muda
 
Teh teh, inaonekana sasa watu wameshajua bila kugoma hapa bongo hupati haki yako,watu wanakula tu!
Jamani viongozi mlioko madarakani mwogopeni Mungu jamani, lipeni watu stahili zao kadri inavyopaswa!
Halafu wabongo tuna juhudi kweli ya kwenda makanisani na misikitini kuomba Mungu ila tukirudi maofisini tunaendeleza dhuluma, ni Mungu yupi tunayemwomba? ndio maana Tz kila siku mabalaa, ajali, moto, ukame, magonjwa, kwani tumezidi unafiki!
 
Viongozi mafisadi hawawezi kuwajali wanyonge misikitini na makanisani wanaenda kwa mazoea tu na wanatambulika na kuheshimika waingiapo kwenye nyumba hizo za ibada wakati ni wezi na wauwaji wakubwa
 
pia bado udom kunawaka moto wanachuo bado wako kwenye mgomo pinda amesuluhisha wahadhiri ambao nao kumbe ni wahadhiri wa kata kama serikali ilikuwa inawapunja kisha unaimba tunaimani na serikali kisha tunaimani na pinda kusema kweli jana niliwaona wale wahadhiri ni sawa na wanafunzi wa kata hakuna mwanaharakati pale wote vibaraka tu
 
pia bado udom kunawaka moto wanachuo bado wako kwenye mgomo pinda amesuluhisha wahadhiri ambao nao kumbe ni wahadhiri wa kata kama serikali ilikuwa inawapunja kisha unaimba tunaimani na serikali kisha tunaimani na pinda kusema kweli jana niliwaona wale wahadhiri ni sawa na wanafunzi wa kata hakuna mwanaharakati pale wote vibaraka tu

Simple minded!
 
Yaani sijui nini kinachotokea, watu wamebadilika mno. Hali hii inabidi serikali yetu ijitathamini siyo kinafiki bali kwa kumananisha.
 
Hii migomo ilikuwepo toka mwanzo, sema tofauti ya wakati ule na sasa ni kuwa ,wakati ule kulikuwa udsm tu.
 
uwt wenyewe hamna ki2 nw adays,uwt 4rm 4 wapo kibao wanazurura,hata saikolojia hawajui,wanapewa kaz kwa fadhila 2,
 
kazi anayo mkuru ...ikulu hawabebi zege bt kwa changamoto za term hii atatia akili.....bla bla nyingi tatizo hajawajibisha watu ndio maana system yote total failure....mtu akiharibu anahamishwa ...piga chini wazembe ndio nchi itanyooka...uswahiba everywhere ngoja aone utamu wa shubiri...
 
Back
Top Bottom