Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 19
Vp wakuu,kwa wale wenye tatizo kama langu la kutoona majina yao kwenye web ya muccobs,tujuzane coz kesho naenda kula sahani moja nao,so kama kuna aliyefuatilia hilo la mucob tujuzane ili anipe feedback aliyopewa,ili nikienda nibadilishe uzi na kuweka manila,