engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya hatimae mwisho wa nguli umefikia kikomo na peoples power imeonyesha kazi yake,mubaraki ataachia nchi usiku huuuuu
source al jazeera Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
nadhani sasa ndio anaachia ngazi,kwa wale wenyhe hiyo link hapo juu mwaweza cheki
Egyptian army's supreme council discusses Mubarak's future, says it will continue to monitor situation.
sasa ndio ameondoka na kuachia ngazi,kwa heri mbaraki http//English. Al-Jazeera.net/watch_now/)
http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-12307698
hatimaye msela kagoma baada ya kuona madaraka ni matamu,Rais wa Misri, Hosni Mubarak amesema atasalia madarakani na kukabidhi madaraka yote baada ya uchaguzi wa urais mwezi Septemba.
source al jazeera Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
nadhani sasa ndio anaachia ngazi,kwa wale wenyhe hiyo link hapo juu mwaweza cheki
Egyptian army's supreme council discusses Mubarak's future, says it will continue to monitor situation.
sasa ndio ameondoka na kuachia ngazi,kwa heri mbaraki http//English. Al-Jazeera.net/watch_now/)
http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-12307698
hatimaye msela kagoma baada ya kuona madaraka ni matamu,Rais wa Misri, Hosni Mubarak amesema atasalia madarakani na kukabidhi madaraka yote baada ya uchaguzi wa urais mwezi Septemba.