Mubarak ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela

Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.

Nahisi unasukumwa na hisia za udini zaidi kuliko uhalisia,hv kujenga viwanda wengine kuja kuviua na kuvigawa bure,kutoa elimu bure,afya bure japo hakukua na mikataba ya wizi toka kwa wachukuaji wanaojiita wawekezaji ya madini na ardhi yetu kwako uliona ni kuchochea umaskini?pamoja na elimu yako ndogo kwa nini haujiulizi hawa wanazuoni waliobobea uwa wana mchambua sana Nyerere na kum consider zaidi in a positive way japo alikua anayo mapungufu machache au nao wanazuhoni mahiri ni wapofu wa akili??
 
Cdm bana mna mawazo finyu km punje ya mchanga, mnadhania nchi inachukuliwa kwa kutumbukiza vikaratasi kwenye visanduku tu, ni zaidi ya hapo. Mtaiota sana nchi hii , hatuwapi nchi hii wahuni
No empire has ever lasted forever, otherwise that could be a god then. Msipoiachia nchi kwa hiyari basi mjue mnatafuta kufa kigadafi. Subirini muone. If you people can learn from history then what is the use of tomorrow?
 
Jamani kweli nyerere alistahili kunyongwa ana bahati ametangulia haraka.Hii nchi haikustahili kupewa uhuru mapema wakati hata kujiandaa tulikuwa hatujajiandae uchumi ndo ulikufa mikononi mwa nyerere na sera zake za ujamaa.Ila nikifikiria umoja aliotuachia ndo msamaha wangu kwake unanijia kazee kalijitahidi kutuweka pamoja.

Si kosa lako
 
Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.
Wewe umerogwa?na pia unachekesha bila ya Nyerere sasa hivi ungekua unabwabwaja hapo?kama huna hoja kakojoe ulake.
 
Cdm bana mna mawazo finyu km punje ya mchanga, mnadhania nchi inachukuliwa kwa kutumbukiza vikaratasi kwenye visanduku tu, ni zaidi ya hapo. Mtaiota sana nchi hii , hatuwapi nchi hii wahuni[/QUOTE0}Tumekusikia..nenda upumzike kwa amani.
 
Hosni Mubarak sentenced to life in prison

Egypt's former president Hosni Mubarak has been found guilty of complicity in the death of protesters.

cell_2237399b.jpg
Image 1 of 2
Ousted Egyptian president Hosni Mubarak sitting inside a cage in a courtroom during his verdict hearing in Cairo Photo: AFP/GETTY


The deposed Egyptian president was wheeled into court on Saturday to hear the verdict in the case against him on charges of corruption and ordering the killing of protesters last year.

His two sons, Gamal and Alaa, who stood trial on corruption charges, also arrived in the court, where they stood alongside their father in the cage reserved for defendants.

The charges were dropped against both his sons – although they both face new charges, brought this week, so will not be released.

Mubarak's former interior minister, Habib el-Adli, also charged over the deaths of protesters, was also among the defendants in the cage. He too was given a life sentence over his role in suppressing the January uprising.

Scuffles broke out inside the courtroom as presiding judge Ahmed Refaat handed down the sentences.

People inside the courtroom chanted: "The people want the judiciary cleansed" (of Mubarak-era officials).
One man held up a sign calling for Mubarak to be executed, others chanted for a death sentence.
A wail rose up from the crowds gathered outside the courthouse when the verdict was read out, which people heard on radios they had brought with them. Fireworks were fired into the sky.
It took a few minutes for the reaction to sink in.
One man, holding a home-made poster of his dead son, had tears running down his face.
"Thank God," he said. "We have got justice for the people."
Soha Saeed, the wife of one of those killed in the uprising that toppled Mubarak on February 11, 2011, shouted: "I'm so happy. I'm so happy."
Others were less pleased with the verdict, and angry that the other defendants – in particular Mubarak's two sons – were acquitted. Some protesters screamed abuse at a line of riot police, and fights broke out among the crowd.
Protesters threw empty plastic bottles at riot police and one man flung his shoe at the armed forces, in a furious sign of defiance.
 
acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni mwalimu nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.
wewe wacha kukurupuka umeamkaje ?habari za asubuhi ? Mwalimu nyerere hatuwezi mlaumu tugange yajayo ndugu akili yake ndio ilifika hapo na tena hakuiba vitu nakujilimbikizia mali kama wenzake ,hakuwa msomi kama unavyofikiri angalia sasa watu wamesosoma na ndio wezi wameigeuza ikulu nyumba zao na watoto wao,hao ndo wakunyongwa sio nyerere ,hakuna kwa hiyo wewe kama baba ukiharibu familia wote wachini yako nao waendelee na mfumo wako?jibu ni hapana wangetengua na kuinyoosha mifumo hiyo sasa.na pia wakunyongwa ni watanzania waliochagua viongozi mbumbumbu??////?mtoa mada achana na masuala ya muungano.
 
Ww umaskini ulio nao ambao umesababishwa na yeye Mwl, Nyerere ww huoni huo ni wizi tosha? kuchukua rasilimali ya nchi na kumpa jirani yako bila idhini ya mwenye mali aka mwananchi huo sio wizi ? funguka kijana Nyerere ndio chanzo cha nchi hii kuwa maskini

Hatuwezi kufunguka kwa mawazo yako yasio ma mbele wala nyuma!unamtafutia nn Mw nyerere???kosa lake lipi yy ndo mwanzilishi wa vitu vingi vilivyofia mkononi mwa Mwinyi na Mkapa!unajua kama sera yake ya ujamaa iliyokataliwa na viongozi wetu ndio iliyowafikisha china leo hii walipo???ww ndo funguka kuna nn kipya kimetengenezwa??Reli si unaziona ni mawazo ya kina nani je kuna Reli mpya imejengwa??kua kijana acha kukurupuka pasipo kujua na nyie ndo mnaotuulia nchi yetu mkishindwa nda ohohhh mara hivi mara hv!viongozi wetu wa leo ndo tunapaswa kuwauliiza wamefanya nn????????????muulize Rais wako JK
 
Oopsss, rest in peace. Mwingine juzi sijui miaka mingapi vileee
 
Tena huyu anatakiwa kunyongwa yeye pamoja na Mkapa....



Na huyu wa awamu pili Ali Hassan afunge takrban 30yrs gerezani!

Kwani aliwakaribisha mafisadi kwa namna ya kipekee ambapo huyu fisadi (mafisadi) kama Mkapa wakapandikiza maradufu!
 
Na huyu wa awamu pili Ali Hassan afunge takrban 30yrs gerezani!

Kwani aliwakaribisha mafisadi kwa namna ya kipekee ambapo huyu fisadi (mafisadi) kama Mkapa wakapandikiza maradufu!

Na Mkaahapa anastahili adhabu gani?
 
Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.
Umesahau kuwa Mkapa ndiye aliyemuua Nyerere iliaweze kubinafsisha mashirika ya umma na kuwapa Wazungu migodi yetu ya Dhahabu. Mkapa anastahili kunyongwa.
 
CCM hawana uwezo wa kuwapa au kutowapa nchi chama kingine.
Watanzania wameshaamua kuipa chadema utawala wa nchi hii.
Anzeni kujifunza kuwa wapinzani nyie magamba.

Naunga mkono hoja 100%
 
Acha lugha za uchochezi ww, katika watu waliostahiki kunyongwa ni Mwalimu Nyerere , yeye ndio matatizo yote tuliyonayo sasa ametusababishia yeye, ya muungano, umaskini kwa kuchukua rasilimali zetu kwenda kuuupigania vita vya kagera na ukombozi wa nchi za kiafrika. Halafu leo mlivyo vipofu eti mnataka kumtangaza mtakatifu, na maovu yote hayo.

Pole.
Muungano waliuanzisha Nyerere na Sheikh Karume. Umlaumu na Karume pia.

Natamani tutengane tuwaache waunguja na wapemba na nchi zao za Unguja na Pemba (kwani Zenji haitabaki moja).

We umeishiwa, eti kupigana kuzikomboa nchi zilizokuwa bado zinatawaliwa ni kitu kibaya??? hakuna jambo zuri kama kumkomboa anayeonewa.
Kumbe ww bora Rais wako angekuwa Mobutu, Kamuzu Banda, Kenyatta (wote vibaraka wa mabeberu) na hawa vibaraka mamboleo akina Jakaya Kikwete.

1. TUNAIHITAJI JAMHURI YA TANGANYIKA.
2. JK, RIZ-ONE, MKAPA MMEYAONA YA MUBARAK?
 
Hatuwezi kufunguka kwa mawazo yako yasio ma mbele wala nyuma!unamtafutia nn Mw nyerere???kosa lake lipi yy ndo mwanzilishi wa vitu vingi vilivyofia mkononi mwa Mwinyi na Mkapa!unajua kama sera yake ya ujamaa iliyokataliwa na viongozi wetu ndio iliyowafikisha china leo hii walipo???ww ndo funguka kuna nn kipya kimetengenezwa??Reli si unaziona ni mawazo ya kina nani je kuna Reli mpya imejengwa??kua kijana acha kukurupuka pasipo kujua na nyie ndo mnaotuulia nchi yetu mkishindwa nda ohohhh mara hivi mara hv!viongozi wetu wa leo ndo tunapaswa kuwauliiza wamefanya nn????????????muulize Rais wako JK
sasa unalaumu marehemui nifunguke kulaumu marehemu na mimi nionekane pimbi hasha am geneous enough
 
CCM hawana uwezo wa kuwapa au kutowapa nchi chama kingine.
Watanzania wameshaamua kuipa chadema utawala wa nchi hii.
Anzeni kujifunza kuwa wapinzani nyie magamba.
We jiongelee mwenyewe,watanzania gani wanaotaka kutawaliwa na wahuni?
 
Back
Top Bottom