OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Muasisi wa CCJ Paul Makonda amechukua form ya kugombea makamu mwenyekiti UVCCM taifa.
Paul Makonda founder wa chama kisicho na usajili wa kudumu amekabidhiwa form leo saa 5 asubuhi na katibu mkuu wa UVCCM Taifa Martin Shigela.
Paul Makonda ameshindwa kujibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari aliyetaka kujua kama ameshakana u-CCJ ama bado anashikilia kuwatumikia mabwana wawili CCM na CCJ.
Makonda pia aliwashangaza watumishi wa UVCCM makao makuu kwa kujaza HAPANA kipengele kinachouliza, Je? umewahi kujiunga na chama cha upinzani? Badala ya makonda kujaza NDIYO yeye amejaza HAPANA.
Paul Makonda founder wa chama kisicho na usajili wa kudumu amekabidhiwa form leo saa 5 asubuhi na katibu mkuu wa UVCCM Taifa Martin Shigela.
Paul Makonda ameshindwa kujibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari aliyetaka kujua kama ameshakana u-CCJ ama bado anashikilia kuwatumikia mabwana wawili CCM na CCJ.
Makonda pia aliwashangaza watumishi wa UVCCM makao makuu kwa kujaza HAPANA kipengele kinachouliza, Je? umewahi kujiunga na chama cha upinzani? Badala ya makonda kujaza NDIYO yeye amejaza HAPANA.