Chatumkali JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,037 458 Nov 2, 2011 #3 Inawezekana ukosefu wa bahasha unasababisha kukosekana kwa bashasha!
Majoja JF-Expert Member Jun 10, 2011 612 186 Nov 2, 2011 #4 Babylon said: Click to expand... Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi
Babylon said: Click to expand... Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi
Achahasira JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,213 214 Nov 2, 2011 #5 hahaha dah.huyu muandishi alitaka kumla huyu mama nini.
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Nov 2, 2011 #6 Majoja said: Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi Click to expand... Usichanganye madawa mkuu bashasha-uchangamfu bahasha -rushwa hiyo sura uliyoiita ya kazi mtaani wanaita 'uso wa mbuzi'.
Majoja said: Mwandishi kakosaje bahasha hapa Sana sana naona ka concentrate na ana sura ya kazi Click to expand... Usichanganye madawa mkuu bashasha-uchangamfu bahasha -rushwa hiyo sura uliyoiita ya kazi mtaani wanaita 'uso wa mbuzi'.
Achahasira JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,213 214 Nov 3, 2011 #7 wakuu muki i zoom kwa huyo mwandishi utaona tofauti.