Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Muandaaji wa Miss. Utalii 2011 ni Ndugu Chipungahelo.
Huyu jamaa hana historia nzuri katika uandaaji wa mashindano na concert mbali mbali. Mnaokumbuka, ameshawatapeli wasanii chungu nzima.
Kwa mfano muulize Nyota Ndogo wa Kenya "ni Promoter gani wa Ki TZ unayemkumbuka sana ?"- atakujibu "Chipungahelo". Jamaa alimfanyisha kazi kwenye matamasha kibao across Tanzania kisha akaingia mitini. Ilibidi Nyota Ndogo atumiwe nauli toka Nairobi.
Sasa, ameandaa Miss Utalii, Mshindi wa Kwanza 150m...... Ataweza kutimiza ahadi ? Yangu macho.
Ameingia ubia na Star TV kuonyesha shindano hilo live next weekend pale Kiromo Hotel, Bagamoyo. SUBIRINI MTAONA VITUKO VYA KUFUNGUA MWAKA....
Huyu jamaa hana historia nzuri katika uandaaji wa mashindano na concert mbali mbali. Mnaokumbuka, ameshawatapeli wasanii chungu nzima.
Kwa mfano muulize Nyota Ndogo wa Kenya "ni Promoter gani wa Ki TZ unayemkumbuka sana ?"- atakujibu "Chipungahelo". Jamaa alimfanyisha kazi kwenye matamasha kibao across Tanzania kisha akaingia mitini. Ilibidi Nyota Ndogo atumiwe nauli toka Nairobi.
Sasa, ameandaa Miss Utalii, Mshindi wa Kwanza 150m...... Ataweza kutimiza ahadi ? Yangu macho.
Ameingia ubia na Star TV kuonyesha shindano hilo live next weekend pale Kiromo Hotel, Bagamoyo. SUBIRINI MTAONA VITUKO VYA KUFUNGUA MWAKA....