figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Nmepigwa na bumbuazi baada ya kuona Ruhazwe JR kaingia mitini.
Alisema tupendekeze majina tukapendekeza, baada ya kuona Arabela amekuja kwa kasi baada ya kujikusanyia kura nyingi kaamua kuingia mitini. Sasa mheshimiwa ulitaka nani ashinde?
Njoo umpe vocha yake Arabela. Kama vipi ntaandamana hadi kwa Invisible.Ninacho muomba Arabela ni kuwa mvumilivu coz ntahakikisha anapata zawadi yake ya ushindi. Nashangaa kwanini kila uchaguzi wa bongo kuna kuchakachua. Twaomba zawadi zetu.Ni hayo tu.
mia
Alisema tupendekeze majina tukapendekeza, baada ya kuona Arabela amekuja kwa kasi baada ya kujikusanyia kura nyingi kaamua kuingia mitini. Sasa mheshimiwa ulitaka nani ashinde?
Njoo umpe vocha yake Arabela. Kama vipi ntaandamana hadi kwa Invisible.Ninacho muomba Arabela ni kuwa mvumilivu coz ntahakikisha anapata zawadi yake ya ushindi. Nashangaa kwanini kila uchaguzi wa bongo kuna kuchakachua. Twaomba zawadi zetu.Ni hayo tu.
mia