kwempa
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 11
Habari wanjamvi, Inasemekana kuwa Tanzania ina rasilimali nyingi haswa madini kama vile dhahabu, tanzanite nk. na hivi karibuni kuna ule mradi wa linganga na mchuchuma, na kwa kuwa hzi raslimali zinaonekana kutokidhi dhamani yake katika kuwaletea wananchi maendeleo, kwa mantiki hiyo basi, tumpe hii nchi Muammar Gaddafi angalau kwa miaka kumi.....ni hayo tu