in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
mimi mwanajf nawapongeza madiwani wa cdm kufikia muafaka na cha ccm kule arusha huu ndio ukomavu wa kisiasa, namshanga slaa kuunda kamati wakati taarifa za vikao vya muafaka alikuwa nazo, je? lengo lake ni kutaka watu waendelee kuuana kwa maslahi yakei? au ili uwe muafaka ni mpaka yeye apewe nafasi ya makamu wa RAIS, ccm imeishafunga ndoa cuf, nanyi mnataka kuwa bi mdogo?