Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
hayo mambo yake ya kujipendekeza huko nje wakati kwake kunawka ni mbio za sakafuni tu
CCM hawako serious waseme kabisa hakuna muhafaka mpaka baada ya uchaguzi wa 2010 kwani karume alishasema alishinda kihalali na hana mpango wa kugawana madaraka na mtu yeyote, kuwa wakweli kutawafanya CUF wajue wanafanya nini badala ya kuwambia kuwa watapewa nafasi za uwaziri wakati si kweli.
Majadiliano yasimamiwe na raisi mwenyewe kuonyesha kuwa yuko committed.