Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Kwa wenye marafiki walio Mtwara tufanye mawasiliano tuulize kama habari hizi ni za kweli. Sitaki kuamini kuwa serikali imekosa busara kiasi kikubwa namna hiyo!
Hutaki kuamini nini, !?? labda kama huijui serikali yetu... BTW huwa unafuatilia matukio ya nchini humu ndugu, hususani yale yahusuyo mgogoro wowote baina ya serikali na wananchi...!??