Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lengo ni kuonesha parking ya VIPs' upo right, but kama lengo ni kuwaambia wanaJF kuwa hilo jengo ndio la VIP kwa airport ya mtwara, utakuwa very wrong coz si lenyewe, hilo jengo halitumiki kwa chochote, ni jengo lilikowa linatumika miaka ya sitini huko, badae likaachwa, ukaanza kutumika uwanja wa jeshi hadi kufikia mwezi jana ambapo waziri wa uchukuzi alienda kufungua jengo jipya pembeni tu mwa hilo jengo ulilopiga picha wewe.....so tueleze vizur unachotaka kutuambia/kutuonesha kabla hatujakuumbua koz f.y.i kila wikend naenda mtwara, ili nikienda this time nipige picha nije nikuumbue nayo hapa........
Kama lengo ni kuonesha parking ya VIPs' upo right, but kama lengo ni kuwaambia wanaJF kuwa hilo jengo ndio la VIP kwa airport ya mtwara, utakuwa very wrong coz si lenyewe, hilo jengo halitumiki kwa chochote, ni jengo lilikowa linatumika miaka ya sitini huko, badae likaachwa, ukaanza kutumika uwanja wa jeshi hadi kufikia mwezi jana ambapo waziri wa uchukuzi alienda kufungua jengo jipya pembeni tu mwa hilo jengo ulilopiga picha wewe.....so tueleze vizur unachotaka kutuambia/kutuonesha kabla hatujakuumbua koz f.y.i kila wikend naenda mtwara, ili nikienda this time nipige picha nije nikuumbue nayo hapa........
Usiniumbue mkuu.... Mimi nimeona tu kuwa kule kibao ukiangalia kwa mbali kinaonyesha kama VIP ni hicho kijumba kibovu ingawa si kweli...
Usiniumbue mkuu.... Mimi nimeona tu kuwa kule kibao ukiangalia kwa mbali kinaonyesha kama VIP ni hicho kijumba kibovu ingawa si kweli...
Whats wrong with this picture? Mbona inaonyesha kabisa kuwa bado Ukarabati/Ujenzi unaendelea. Tigga Mbwa, Hujui kama hata mbuyu ulianza kama mchicha? Acha kuwazarau Machinga bana!
Tumia akili nyepesi kufuatilia hii thread kuwa hiyo ni joke si kweli. Ustaarabu ni kitu cha bure. Asante kwa kuniita mbwa
unamwita mwenzio mbwa halafu unaweka bold kabisa na rangi juu,huo nchicha unakuwa kwa miaka mingapi mkuu?Whats wrong with this picture? Mbona inaonyesha kabisa kuwa bado Ukarabati/Ujenzi unaendelea. Tigga Mbwa, Hujui kama hata mbuyu ulianza kama mchicha? Acha kuwazarau Machinga bana!
Siku nyingine jitahidi kuwa na uhakika kabla hujaripoti kitu. Ni ushauri tu.Usiniumbue mkuu.... Mimi nimeona tu kuwa kule kibao ukiangalia kwa mbali kinaonyesha kama VIP ni hicho kijumba kibovu ingawa si kweli...