Mtunzi wa hadithi

hlw, nina intresting sana na mambo ya uandishi sijui nitakupataje?

Tukusanye nguvu if u're interested.....myself nimewasiliana na publisher mmoja(Mkuki na Nyota) na natarajia kupeleka one of my manusript in few months to come! May be tunaweza ku-test zari anga hizo!
 
Tukusanye nguvu if u're interested.....myself nimewasiliana na publisher mmoja(Mkuki na Nyota) na natarajia kupeleka one of my manusript in few months to come! May be tunaweza ku-test zari anga hizo!

mimi pia ni mtunzi mkuu...tunaweza tukafanya kitu
 
mimi pia ni mtunzi mkuu...tunaweza tukafanya kitu

Una muswada wowote ulio tayari mkuu?! mi nazani, the first step ni kuwa na muswada ambao tayari umeshakamilika..!! Binafsi, nina muswada mmoja ulio tayari na nipo half way muswada wa pili. So, wht is ur advice? Mie nimefikiria kwenda pale Mkuki...nilijaribu kumtafuta Shigongo, nilimkosa!!
 
kuna jamaa yangu alikuwa anaandika hadithi gazeti la mwananchi lakini sasa hivi kaamua tenegeneza kitabu cha hadithi yake moja na kaniambia ameambiwa kuprinti kitabu kimoja ni tshs 1500 na minimum ni vitabu 300 so laki 3.5 ndo ameanza printiwa vitabu vyake hope vitatoka soon .
 
kuna jamaa yangu alikuwa anaandika hadithi gazeti la mwananchi lakini sasa hivi kaamua tenegeneza kitabu cha hadithi yake moja na kaniambia ameambiwa kuprinti kitabu kimoja ni tshs 1500 na minimum ni vitabu 300 so laki 3.5 ndo ameanza printiwa vitabu vyake hope vitatoka soon .

Ni publisher gani anamtumia?!
 
sijamuuliza ngoja ntamuuliza then niwape fidback na wana page yao facebook inaitwa uwanja wa simulizi, kitu kama hicho, uwa pale wanaweka kazi zao watu wanasoma yani ni page ya waandishi wa riwaya
 
Tukusanye nguvu if u're interested.....myself nimewasiliana na publisher mmoja(Mkuki na Nyota) na natarajia kupeleka one of my manusript in few months to come! May be tunaweza ku-test zari anga hizo!

Tutafutane bas tunaweza tengeneza k2 kizuri hapo badae.Vipaj vye tu 2cvilaze.
 
Tutafutane bas tunaweza tengeneza k2 kizuri hapo badae.Vipaj vye tu 2cvilaze.


WAKUU MIMI NAANDIKA MASHAIRI NINA UWEZO WA KUANDIKA MASHAIRI YA KISASA NA YA KIMAPOKEO WASTANI WA MASAHIRI THELETHINI KWA SIKU,NINAYO AMBAYO NILIYAPRINT TAYARI.TAFADHALINI TUWASILIANE TUSAIDIANE patrich47@gmail.com
 
Mi nimekuwa nikiandika riwaya kama hobby toka utoto.Watu mbalimbali huja nyumbani wanasoma wanashangaa.Nitafurahi nikifahamu nitoe japo kimoja.
 
Wadau,
Inapendeza sana kuona kumbe humu ndani tupo wengi ingawaje hatujapata nafasi. Hata hivyo, am very sure kwamba hivi sasa opportunities za kufanya publishing zipo sana ila kinachotakiwa ni kuzitafuta. Uwepo wa opportunities za ku-publish kazi unaweza kuonekana na wingi wa machapisho kwenye hadi meza za magazeti. Hivi sasa, hususani Dar, kwenye meza za magazeti kumejaa vitabu vya aina mbalimbali wakati vingine havina kichwa wala miguu....hii inaonesha wazi kwamba, hivi sasa kutoa kazi si kazi sana bali kinachohitajika ni kazi bora yenye mashiko. Hapa chini ni ushauri tu wa nini watu kama mimi tunatakiwa kufanya:

1. Make sure unakuwa na muswada angalau mmoja ambao tayari umeshakamilika na tayari umeaririwa hata kama na washikaji wenye mapenzi na kusoma na wenye uelewa wa lugha. Hawa watu, tunao wengi mitaani.
NB: Kuna faida sana kuwa na muswada ambao tayari umeshakamilika kwani wakati mwingine huwa kunatokea na writing competition! So, kama unakuwa na muswada ulio tayari basi inakuwa rahisi sana kushiriki zinapotokea issue kama hizo.

2. Jaribu kutafuta angalau sh. 60,000/= uwe na Printer yako gheto...siku hizi catridge ambazo ni refilled zinapatikana si zaidi ya sh. 10,000/=. Ukishakuwa na Printer Yako, basi itakuwea rahisi ku-print muswada wako wewe mwenyewe.
NB: Publisher wengi, kama sio wote wanataka muswada uwe kwenye Double Spacing.

3. Ukishakuwa na muswada ambao tayari printed, jaribu kutembelea some of publishers.....kama nilivyosema, hivi sasa wapo....to mention few, especially well known publishers tunao Mkuki na Nyota, Heko Publishers, Big Horns na wengineo. Kuwafahamu hao wengineo, just jifanye umevutiwa na vitabu vilivyorundikana kwenye meza za magazeti....hawa jamaa wa magazeti hawakatzi kuviperuzi....kwahiyo, wakati unajifanya kuperuzi, kariri contacts za Publishers ambazo uandikiwa in the first or second page kisha go and google for more infos! By the way, mpenzi wa uandishi lazima atakuwa na angalau vitabu viwili vitatu home, so check for publishers.

4. Niliwahi kuongea na publisher mmoja, yeye aliniambia wazi kwamba hawana mpango na vitabu ambavyo tunajifanya kutoa new ideas kwa madai kwamba kila Mbongo anajifanya idea yako ndo bora! Hata hivyo, miswada ya riwaya anaipokea.

Let's work together...let's share our experience and am very sure that we'll make it! Na kama yupo member ambae ameshawahi kutoa kazi yake (sio gazetini) basi atupe experience yake!
 
kwa wale waliotaka kujua wapi rafiki yangu anako printia kitabo chake, wanaitwa ubunifu wetu printing press.
Kwa maelezo yake anadai kila kitabu kimoja ni 1500tshs. Lakini kabla ya kupeleka hadithi zake alienda kwanza kuzisajili baraza la sanaa, na ni tshs 15000 kwa mwaka.
 
kwa wale waliotaka kujua wapi rafiki yangu anako printia kitabo chake, wanaitwa ubunifu wetu printing press.
Kwa maelezo yake anadai kila kitabu kimoja ni 1500tshs. Lakini kabla ya kupeleka hadithi zake alienda kwanza kuzisajili baraza la sanaa, na ni tshs 15000 kwa mwaka.

Very right mkuu, tena niliisahau hiyo point. Ni muhimu sana kupata copy right...na good enough, hata mswada ambao haujakamilika unapewa copy right.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom