TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,204
Mi navutiwa na Sydney Sheldon, vitabu vyake ni noma. Mungu ailaze pema roho yake.
James Hadley Chase
Mi navutiwa na Sydney Sheldon, vitabu vyake ni noma. Mungu ailaze pema roho yake.
Mtunzi wake anaitwa Erle Stanley Gardner.John Grisham Agatha Christie na Yule mtunzi wa Series za Perry Mason (nimesahau jina lake)
Unapitwa na mengi sana mkuu, hanza sasa na utafurahia maisha.sisi watanzania wengi wsanii hatusomi hivi vitabu zaidi ya biograpphy na summary. lafu tunazuga kwa kujua tittle. kibao. Mimi mpaka leo nanunua novel za J hadley chase japo ni za zamani na nazisoma mwazo mpaka mwisho.
kuna nyingine niliwai kununua nikaishia katikati .
Hizo nilizoweka red pamoja na:H. Rider Haggard
Ian Fleming
Irving Wallace
Frederick Forsyth
Charles Dickens
Wilbur Smith
Agatha Christie
Danielle Steel
Stephen King
Edgar Wallace
Robert Ludlum
John Grisham
Jackie Collins
J. R. R. Tolkien
Dan Brown
Mario Puzo
Roald Dahl
C. S. Lewis