Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Wakuu heshima sana,
Mtunza Ikulu Ndogo mstaafu (Mama Lucy) wa Arusha amefariki na anatarajiwa kuzikwa siku ya jumatano katika makaburi ya Njiro jijini Arusha.
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuongoza wakaazi wa jiji la Arusha katika mazishi hayo.
RIP Mama Lucy.
Mtunza Ikulu Ndogo mstaafu (Mama Lucy) wa Arusha amefariki na anatarajiwa kuzikwa siku ya jumatano katika makaburi ya Njiro jijini Arusha.
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuongoza wakaazi wa jiji la Arusha katika mazishi hayo.
RIP Mama Lucy.