Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #21
well said.....Lizzy sidhani kama umemuelewa vizuri Bishanga huyo Cindy hajalaumu kuhusu watoto wala divorce kilichotokea ni yeye kuongea na huyo mwanaume na baada ya hapo mwanaume akachanja mbuga! Hata ingekua mimi ningejiuliza kulikoni ina maana baada ya kujua kuwa ni mtaliki na ana watoto ndio kasoro mojawapo au?
Sikatai huyo Cindy ni binadamu na anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu mwingine yoyote.
Last edited by a moderator: