Hongera sana Mh. Lowassa. Hakika Lowassa amejiwekaa hazina duniani na mbinguni. God bless him. Mh. Lowassa ni kiongozi shupavu sana, tunakuhitaji 2015.View attachment 52564View attachment 52565View attachment 52566View attachment 52567View attachment 52568
Hapa ni Tunduma kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa la EAGT Tunduma ambapo familia yake pamoja na marafiki zake walichangia shilingi milioni 10.
Hongera sana Mh. Lowassa. Hakika Lowassa amejiwekaa hazina duniani na mbinguni. God bless him. Mh. Lowassa ni kiongozi shupavu sana, tunakuhitaji 2015.