Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
Mtumishi ameomba ruhusa, na mkuu wa idara kapitisha, ila mkurugenzi hakupitisha. Nikaamua kwenda kupiga kitabu. Ghafla nikaandikiwa barua ya utoro kazini na nikajieleza. Ni kapewa ovyo, na ofisi ya mkurugenzi ikanipa barua ya kwamba jaza mkataba wa ruhusa ya kwenda masomoni rasmi. Nikajaza, ghafla mkurugenzi tena hakusaini mkataba wakati mwanasheria na boss wangu tayari wamesaini. Mara nikakatiwa mshahara, miaka miwili ila salary slip zinakuja kila mwezi. Sina barua ya kufukuzwa kazi, je?? Nina haki ya kulipwa pesa yangu yote ya mshahara tangu nilipokuwa nasoma hadi sasa? Au sistahili.